JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Biden awasilisha bajeti inayojali watu wa kati

WASHINGTON, MAREKANI Ikulu ya Marekani imependekeza bajeti ya dola trilioni 6 kwa ajili ya mwaka wa fedha 2022. Wakati mapendekezo hayo ya bajeti yakitolewa, Rais Joe Biden amejiandaa kutoa maelezo ya mipango yake ya kifedha katika kipindi cha kati. Atatoa…

Ujerumani kuilipa Namibia fidia

WINDHOEK, NAMIBIA Zaidi ya miaka 100 baada ya serikali yake ya kikoloni kufanya matendo ya kikatili kwa wakazi wa Namibia, Ujerumani imetambua makosa hayo kama mauaji ya kimbari. Ukatili huo ulifanywa dhidi ya watu wa jamii za Herero na Nama,…

Pumzika Jenerali Tumainiel Kiwelu

Na Joe Beda Rupia Luteni Jenerali Tumainiel Kiwelu ni mmoja wa viongozi watakaokumbukwa daima katika Mkoa wa Rukwa, hasa mjini Sumbawanga. Ndiyo, Jenerali Kiwelu. Hakika ameacha alama zisizofutika. Ninashindwa nianzie wapi katika kumuelezea mwamba huyo wa Vita ya Kagera. Anyway,…

Aeleza sababu ya Jua Kali kuvutia wengi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Msanii, mtunzi na mwongoza filamu, Leah Mwendamseke, maarufu kama Lamata, amesema uhalisia uliomo ndani ya tamthilia yake ya ‘Jua Kali’ ndiyo sababu ya kugusa mioyo ya watazamaji wengi. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Lamata…

TAMISEMI chunguzeni tuhuma za madiwani

GEITA Na Antony Sollo Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbogwe mkoani Geita, Kitengo cha ukusanyaji mapato wamemuomba Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu, kuunda tume ya wataalamu kufanya uchunguzi kubaini ukweli kuhusu tuhuma za ubadhirifu wa mamilioni ya fedha za…

Rais Samia Suluhu: Mjenzi makini wa demokrasia

Na Mwalimu Paulo Mapunda  Kamusi ya Kiswahili Sanifu, Toleo la Pili la mwaka 2004, inaeleza maana ya neno “Demokrasia” kuwa ni mfumo wa kuendesha serikali iliyochaguliwa na watu kwa manufaa ya watu. Hivyo uhalali wa serikali yoyote ya kidemokrasia unatokana…