JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Gazeti Letu

Ujenzi barabara Mwandiga – Mwamgongo waanza

KIGOMA Na Mwandishi Wetu Serikali imeanza ujenzi wa barabara ya Mwandiga – Chankere – Mwamgongo yenye urefu wa kilomita 65  kwa kiwango cha changarawe ili kurahisisha huduma za usafiri na usafirishaji kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na mikoa…

Ujumbe wawatoa machozi viongozi

TABORA Na Benny Kingson Ujumbe wa kupinga vitendo vya kubakwa na kutumikishwa katika kilimo cha tumbaku na kazi nyingine ngumu uliotolewa na watoto wa shule za msingi Wilaya ya Kaliua, mkoani Tabora, umewasisimua viongozi, wazazi na walezi na kusababisha watokwe…

BAJETI 2021/22 Prof. Ngowi, vyama wachambua bajeti

DAR ES SALAAM Na Waandishi Wetu Wachambuzi wa masuala ya uchumi nchini wameunga mkono bajeti iliyosomwa bungeni wiki iliyopita, ila wameeleza maeneo yanayohitaji ufafanuzi ili kuondoa wasiwasi wa wananchi. Wamezungumzia hoja ya serikali kutaka ipanue wigo wa ukusanyaji kodi. Profesa…

Rais Samia mwokoe aliyebambikiwa mauaji

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Ndugu wa mmoja wa mahabusu aliyepo katika Gereza la Keko anayetuhumiwa kwa kesi ya mauaji, Saidi Hamisi Lubuva, wameangua kilio ndani ya ofisi za gazeti hili wakati wakihadithia madhila anayokumbana nayo. Hali hiyo imetokea…

Sabaya gumzo

*Arusha yasisimka, mageti yakifungwa mahakamani *Wananchi wadai mkoa una nuksi ya viongozi vijana *Wadaiwa kuwaangusha waliowaamini, ni masikitiko *Uvumi Makonda kukamatwa watawala mitandaoni ARUSHA Na Hyasinti Mchau Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya,…

Soko la Chifu Kingalu ni ‘bomu’

*Vibanda zaidi ya 200 vyafungwa kwa miezi sita *Biashara yadorora, kisa? Malumbano na Manispaa  Morogoro Na ALEX KAZENGA Kutokuaminiana kati ya baadhi ya wafanyabiashara wa Soko Kuu la Chifu Kingalu na uongozi wa Manispaa ya Morogoro kunatajwa kuwa tishio kwa…