JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Polisi msikamate kabla ya upelelezi

Na Deodatus Balile, Dodoma Kwanza ninaomba kuwashukuru wasomaji wangu kwa mrejesho mkubwa mno kutokana na safu hii ya SITANII kwa makala niliyoiandika wiki iliyopita.  Katika makala ya wiki iliyopita nilimwomba DPP kutumia mamlaka yake ya kisheria kuiondoa mahakamani kesi inayomkabili…

DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe

Na Deodatus Balile Imenichukua muda kuandika makala hii. Ninafahamu kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, anashitakiwa kwa tuhuma za kufadhili ugaidi kwa Sh 600,000. Anashitakiwa pia kwa tuhuma za kupanga njama za kulipua vituo vya…

Kamati ilete majibu utitiri tozo za mafuta

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kamati iliyoundwa kuchunguza mfumko wa bei ya mafuta nchini kati ya mwezi Julai, Agosti na Septemba, itatoa taarifa yake Septemba 16, 2021. Kamati hiyo iliundwa Septemba 2, 2021. Katika hili, ninadhani tunakwenda kufanya…

Mwakabibi, urais 2025 CCM

Na Deodatus Balile Ndugu msomaji ninakushukuru kwa mrejesho mkubwa ulionipa wiki iliyopita. Sitairejea makala ya wiki iliyopita, ila leo nitazungumzia kwa uchache kilichomtokea aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi. Mwakabibi na mwenzake wamepandishwa kizimbani kwa kesi ya uhujumu…

Mbowe, chanjo na hujuma CCM

Na Deodatus Balile Mpendwa msomaji salamu. Sitanii, tangu nimepata pigo la kuondokewa na Mkurugenzi mwenzetu, Mkinga Mkinga, Juni 24, 2021, sijaandika katika safu hii.  Itanichukua muda kuamini kuwa kweli Mkinga amefariki dunia, ila nalazimika kuukubali ukweli kwamba sisi tu waja…

Kodi ya simu za mkononi haiepukiki

Na Deodatus Balile Alhamisi, Aprili 10, 2021 Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, aliwasilisha Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2021/2022.  Kwanza kabla sijaijadili bajeti hii, naomba nimshukuru Mheshimiwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, kwa kulialika Jukwaa la Wahariri…