JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Rais Samia, kuachiwa Mbowe na Urusi

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita ilikuwa na matukio mengi, ila nitayagusia makubwa machache. Kwanza nianze la kesho Jumatano, Machi 9, 2022 ambapo Jukwaa la Wahariri Tanzania litakuwa linafanya Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 2022.  Huu mkutano utahusisha wahariri zaidi ya…

Nimejifunza, Ukraine – Urusi taarifa zina utata

Na Deodatus Balile Tangu Urusi ianze mashambulizi dhidi ya taifa la Ukraine, nimekuwa na ufuatiliaji wa karibu wa mashirika mbalimbali ya habari ya kimataifa. Kuna jambo gumu nimejifunza. Nimekuwa nikilisikia hili nililojifunza, ila sasa nimejifunza kwa njia ngumu. Sitanii, miaka…

Rais Samia hongera, maliza la Mbowe tugange yajayo

Na Deodatus Balile, Zanzibar Leo naandika makala hii nikiwa hapa eneo la Mlandege, Zanzibar. Nimemaliza mjadala wa kuelekea mwaka mmoja wa uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mjadala huu ulihusu “Maendeleo katika Sekta ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.”…

Asante Rais Samia, Waziri Nape

Na Deodatus Balile, Zanzibar Wiki iliyopita imekuwa wiki ya furaha kwa tasnia ya habari. Ni wiki ya furaha baada ya Alhamisi iliyopita Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, kutangaza kuyafungulia na kuyapa leseni magazeti manne; Mwanahalisi,…

Rais Samia, TANROADS okoa watu Dar – Morogoro

Na Deodatus Balile Wiki iliyopita nimesoma habari ya kuanza kwa mchakato wa ujenzi wa njia nne katika Barabara ya Morogoro. Ujenzi huu unaelezwa kuwa utaanzia Kibaha Maili Moja hadi Morogoro kwa urefu wa kilomita 158. Taarifa hizi zimetolewa na Mkuu…

Uspika tusipime maji kwa miguu miwili

Na Deodatus Balile, Dar es Salaam Mwezi huu aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, amejiuzulu. Ndugai ambaye ni Mbunge wa Kongwa, amejiuzulu kutokana na maneno makali aliyoyatoa Desemba 28, 2021 akiishambulia serikali kwa kuchukua mikopo kutoka nje ya nchi. Kilicholeta…