Category: Sitanii
Kuna maisha baada ya uchaguzi
Naandika makala hii nikiwa nchi jirani ya Uganda katika mji wa Masaka. Pamoja na kwamba niko nje ya nchi, nafuatilia kwa karibu kinachoendelea hapo nchini. Kwanza kabisa niseme uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti na uchaguzi wa miaka yote iliyopita….
M4C ya Magufuli, Lowassa na Sauli!
Kipindi hiki ni cha kampeni. Nafuatilia aina ya ujumbe unaotumwa kwenye simu za mikononi, mijadala inayoendelea, sera zinazotamkwa na wagombea kutoka kwenye ilani zao kauli mbiu (slogan) za wagombea katika kampeni, mijadala inayoendelea kwenye vijiwe na mengine mengi. Kama mwandishi…
CCM, Ukawa hawawezi Katiba Mpya
Leo nimeona vyema niandike makala hii kugusia suala la Katiba Inayopendekezwa (mpya). Nimeamua kugusia suala la Katiba Mpya, baada ya kuona Chama Cha Mapinduzi (CCM) suala hili kwenye Ilani yao wameliacha kama fumbo la imani, hawaligusi, huku Ukawa wakisema watahakikisha…
Kampeni zimeanza, tusimuige Mkapa
Mwishoni mwa wiki nimeshuhudia jambo kubwa. Jambo lenyewe ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kujiengua kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Amejiunga UKAWA kupitia NCCR-Mageuzi. Sumaye wakati anahama amerejea aliyosema Profesa Mark…
Prof. Lipumba aseme ukweli wote
Leo bado siku 75 kabla ya Tanzania kufanya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25. Muda unaweza kuonekana mwingi, lakini ni mchache. Matukio yanayoendelea katika ulingo wa siasa, uvumi na taarifa zinazosafiri kama moto wa nyasi kavu, yanatupasa kuwa makini na kuchambua pumba…
Lowassa si sawa na Mrema
Hiki ni kipindi cha Uchaguzi Mkuu. Oktoba 25, wananchi watakwenda kwenye vituo vya kupigia kura. Wananchi watakuwa na jukumu la kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Makamu wake (mgombea mwenza). Kwa Wazanzibari, mbali na Rais na Makamu…