Category: Sitanii
NEC haina mamlaka kumtangaza aliyeshindwa
Leo (Jumamosi Oktoba 10) naandika makala hii ikiwa zimesalia siku 15 kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika. Uchaguzi Mkuu utafanyika Oktoba 25, siku ya Jumapili. Kanisa Katoliki tayari limetangaza kuwa ibada ya Jumapili kwa baadhi ya majimbo itafanyika Jumamosi ya Oktoba…
Sasa ni Lowassa, Magufuli
Leo naandika makala hii nikiwa mkoani Tanga. Naandika makala hii zikiwa zimesalia wiki tatu kabla ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 25. Nimepata fursa ya kusafiri maeneo mbalimbali ya nchi hii. Nimezungumza na watu mbalimbali. Nimesikiliza ahadi za wagombea urais Edward Lowassa…
Kuna maisha baada ya uchaguzi
Naandika makala hii nikiwa nchi jirani ya Uganda katika mji wa Masaka. Pamoja na kwamba niko nje ya nchi, nafuatilia kwa karibu kinachoendelea hapo nchini. Kwanza kabisa niseme uchaguzi wa mwaka huu ni tofauti na uchaguzi wa miaka yote iliyopita….
M4C ya Magufuli, Lowassa na Sauli!
Kipindi hiki ni cha kampeni. Nafuatilia aina ya ujumbe unaotumwa kwenye simu za mikononi, mijadala inayoendelea, sera zinazotamkwa na wagombea kutoka kwenye ilani zao kauli mbiu (slogan) za wagombea katika kampeni, mijadala inayoendelea kwenye vijiwe na mengine mengi. Kama mwandishi…
CCM, Ukawa hawawezi Katiba Mpya
Leo nimeona vyema niandike makala hii kugusia suala la Katiba Inayopendekezwa (mpya). Nimeamua kugusia suala la Katiba Mpya, baada ya kuona Chama Cha Mapinduzi (CCM) suala hili kwenye Ilani yao wameliacha kama fumbo la imani, hawaligusi, huku Ukawa wakisema watahakikisha…
Kampeni zimeanza, tusimuige Mkapa
Mwishoni mwa wiki nimeshuhudia jambo kubwa. Jambo lenyewe ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye kujiengua kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Amejiunga UKAWA kupitia NCCR-Mageuzi. Sumaye wakati anahama amerejea aliyosema Profesa Mark…