Category: Sitanii
Majipu huanza kama chunusi Zanzibar!
Miaka 15 iliyopita, nikimaanisha mwaka 2000 katika mwezi wa Novemba, nilifanya mahojiano na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara, Wilfred Muganyizi Lwakatare. Katika mahojiano hayo, nilimuuliza juu ya sintofahamu ya kisiasa iliyokuwa inaendelea Zanzibar baada…
Mengi, Muhongo, mawaziri chapeni kazi
Nikiwa hapa mkoani Morogoro, nimesikia tangazo la Baraza la Mawaziri. Itakumbukwa kuwa mara kadhaa nimesema na nimeendelea kuamini kuwa Profesa Sospeter Muhongo alistahili kurejeshwa katika Wizara ya Nishati na Madini. Si Muhongo tu bali hata Katibu Mkuu aliyeondolewa, kisha akapangiwa…
Nakubaliana na Marando, Tanzania ina bahati
Miaka mitatu iliyopita Mwanasheria maarufu nchini, Mabere Marando alitoa kauli ambayo si mimi tu, bali Watanzania wengi hatukumwelewa. Kauli yenyewe ilikuwa hivi: “Tanzania ni nchi yenye bahati. Ni nchi pekee duniani inayojiendesha bila Rais.” Wapo walioichukulia kama vijembe vya kisiasa,…
Rais Magufuli epuka mitego ya Kikwete (2)
Leo naandika sehemu ya pili ya makala hii. Naomba niseme kuwa nimefarijika kutokana na mrejesho mkubwa kutoka kwenu wasomaji wangu. Nimefarijika kuona makala hii inanikutanisha na marafiki tuliopotezana miaka 30 iliyopita. Yupo mmoja wa marafiki zangu mara ya mwisho tumekutana…
Rais Magufuli epuka mitego ya Kikwete
Wiki mbili zilizopita sikuandika katika safu hii. Sikuandika kwa maana kwamba nilikuwa mbio nasafiri mkoa hadi mwingine, kwa kiwango kilichonifanya nishindwe kutimiza wajibu wangu. Lakini si hilo tu, matokeo kadri yalivyokuwa yanatoka, taarifa zinasambaa ilinilazimu kufunga breki kwanza, kwa nia…
Kwaheri Deo, Lowassa kukamilisha historia!
Usiku wa Alhamisi ya Oktoba 15, nikiwa jijini Mwanza nilipata taarifa za ajali ya helikopta. Taarifa hizi mwanzo zilitaja viongozi wanne waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa walikuwamo. Moyo wangu ulikwenda mbio. Nilimtafuta mmoja wa viongozi wa juu wa…