Category: Sitanii
Magufuli anaheshimu waandishi, nchi itanyooka
Wiki iliyopita sikuandika kwenye safu hii. Sikupata wasaa huo kutokana na ukweli kwamba nilikuwa kwenye harakati za uchaguzi. Naomba kuwashukuru wahariri wenzangu walionichagua kwa kishindo kuwa Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Pamoja nami, walichaguliwa Mwenyekiti, Theophil Makunga,…
Hatutarajii mipasho, vijembe bungeni
Wiki hii linaanza Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Bunge hili linaanza na changamoto nyingi. Linaanza na changamoto ambayo vyama vya upinzani ukiacha ACT-Wazalendo havijichanganui iwapo havitambui ushindi wa Rais John Magufuli au vinautambua. Wakati anahutubia Bunge…
Safari ya kuelekea demokrasia ngumu
Wiki hii nianze kwa kukuomba radhi msomaji wangu kwa kutokuwapo kwenye Safu hii wiki iliyopita. Nilipata dharura, ila namshukuru Mungu kuwa imekwisha salama na maisha yanaendelea. Leo nimejaribu kuandika somo pana kidogo linalohusu demokrasia katika nchi yetu. Naandika somo hili,…
Serikali ya maprofesa, madaktari, mainjini… hatutarajii porojo
Katika pitapita yangu kwenye mitandao ya kijamii, nimekutana na uchambuzi ulionigusa kidogo. Nimebaini kuwa Baraza la Mawaziri linaongozwa na Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli (PhD – Chem&Maths), limejaa wasomi. Wasaidizi wake wakuu ni Makamu wa Rais: Samia Suluhu (Msc…
Majipu huanza kama chunusi Zanzibar!
Miaka 15 iliyopita, nikimaanisha mwaka 2000 katika mwezi wa Novemba, nilifanya mahojiano na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) Tanzania Bara, Wilfred Muganyizi Lwakatare. Katika mahojiano hayo, nilimuuliza juu ya sintofahamu ya kisiasa iliyokuwa inaendelea Zanzibar baada…
Mengi, Muhongo, mawaziri chapeni kazi
Nikiwa hapa mkoani Morogoro, nimesikia tangazo la Baraza la Mawaziri. Itakumbukwa kuwa mara kadhaa nimesema na nimeendelea kuamini kuwa Profesa Sospeter Muhongo alistahili kurejeshwa katika Wizara ya Nishati na Madini. Si Muhongo tu bali hata Katibu Mkuu aliyeondolewa, kisha akapangiwa…