Category: Sitanii
Hongera Magufuli, ila sukari, matrafiki…
Wiki iliyopita nilipata fursa ya kuzungumza na mtu mmoja mzito. Mazungumzo yetu yalikuwa ni kwa maslahi ya Taifa. Tulizungumzia ustawi wa Taifa letu na mwelekeo wa nchi chini ya uongozi wa Rais John Pombe Magufuli. Mazungumzo yetu yalijaa nia njema,…
Dk. Mwakyembe anaiaibisha PhD
Wiki iliyopita nilikuwa bungeni hapa mjini Dodoma. Niliingia katika ukumbi wa Bunge, nilisikiliza michango ya wabunge kadhaa. Nilimsikiliza Waziri wa Habari, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, na wengine wengi. Niseme mapema tu kuwa hapa leo najadili hoja ya Bunge…
Nani anamtuma Dk. Tulia?
Katika siku za karibuni imekuwapo mitafaruku kadhaa bungeni. Tumesikia habari za Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuwa na mikwaruzano na Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson. Nakumbuka Dk. Tulia alivyokuwa mbunge wa kwanza kuteuliwa katika vile viti 10 vya…
Rais Magufuli kaza kamba reli
Sitanii, wiki hii kama kuna jambo limeniburudisha basi ni taarifa hii ya Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa, aliyoitoa Dar es salaam tarehe 25 Aprili, 2016. Na kabla sijafafanua nilichokifurahia, naomba kwa ruhusa yako niinukuu neno kwa neno kama…
Tufunge mlango wa misaada – 2
Wiki iliyopita sikuandika katika safu hii. Kwenye tanbihi, nilieleza kuwa ilikuwa nashughulikia habari nzito inayoendelea kuchapishwa na gazeti hili kuhusu Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kutolipa kodi sahihi. Wiki moja kabla ya wiki iliyopita, ilikuwa nimezungumzia suala la nchi hii…
Tufungie mlango misaadaa ya wahisani
Zimepita wiki tano bila mimi kuandika safu hii ya SITANII. Nilikuwa na jukumu zito la kuuhabarisha umma juu ya mbinu za aina yake zinazotumiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL Group) kuepuka kodi. Katika habari hizo nimefanya uchunguzi wa kina…