Category: Sitanii
Tunayeyusha kiwango cha uvumilivu
Hivi karibuni naona mwelekeo usio na afya kwa taifa letu. Nimewaona polisi wakipiga marufuku mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa, nimeona vyama vikitoa matamko ya nia ya kukabiliana, nimesikia baadhi ya vijana ndani ya vyama wakihamasishana kwenda Dodoma kuzuia…
Uingereza wamechagua kunywa sumu
Moja ya hotuba za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere zinazowakuna Watanzania ni ile ya Dhambi ya Ubaguzi. Mwalimu Nyerere aliwaonya Watanzania kuepuka dhambi ya ubuguzi. Alituasa Watanzania kuwa ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu, ukiishaanza hauachi….
CCM acheni majungu, jengeni nchi
Leo naandika makala hii nikiwa hapa jijini Accra, nchini Ghana. Ghana ni nchi iliyokuwa ya kwanza kupata uhuru barani Afrika. Nchi hii ilitutangulia miaka minne kupata uhuru kwa maana ya kupata uhuru Machi 6, 1957 ambapo Dk. Kwame Nkrumah alitangazwa…
Tusiibeze bajeti, tusiishangilie
Juni 9, mwaka huu, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, aliwasilisha bajeti ya Serikali bungeni kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Bajeti hii imeficha siri nzito yenye mwelekeo wa kuliondoa Taifa letu katika aibu ya kuwa ombaomba. Ni kweli,…
Rais Magufuli wekeza upate kodi
Wiki iliyopita niliandika makala juu ya kijana aliyefuga kuku huko Singida. Nimebaini kuwa ufugaji ule umekuwa kivutio kikubwa kwa wengi waliosoma makala yangu. Hata hivyo, ingawa wengi walitaka kuwasiliana naye awafundishe, kijana huyo anasema yeye alifundishwa na mwalimu kutoka Chuo…
Rais Magufuli epuka ushauri huu!
Wiki iliyopita nilikuwa katika kipindi cha ‘Malumbano ya Hoja’ kinachorushwa ‘live’ na ITV. Mjadala kadiri ulivyoendelea nilipata shida kidogo. Niliwaona baadhi ya wachangiaji wakizungumza lugha ya hatari, ambayo ninaisoma katika baadhi ya magazeti. Wanasema Rais John Magufuli anahujumiwa. Sitanii, neno…