Category: Sitanii
Ni hatari kuua biashara
Leo nimeona niandike mada inayogusa maisha ya kila Mtanzania – biashara. Naandika mada hii kutokana na mwenendo usioridhisha unaoonesha kuwa biashara nyingi hapa nchini zinakufa. Kwa muda mrefu tumekuwa tukiambiwa kuwa Tanzania ni taifa la wakulima na wafanyakazi. Ni kwa…
Uzuiaji viroba sawa, mifuko ya plastiki nayo iunganishwe
Serikali imepiga marufuku utengenezaji na usambazaji pombe maarufu kwa jina la ‘viroba’ kuanzia Machi mosi, mwaka huu. Uamuzi huu umetokana na ukweli kuwa matumizi ya ‘viroba’ yalishavuka mipaka; na hivyo kuwa chanzo cha maovu na misiba nchini kote. Hatua hii,…
Mwakyembe hawezi kuifuta TLS
Wiki hii nchi imeingizwa katika mjadala mrefu usio na tija. Waziri wa Sheria na Mambo ya Katiba, Dk. Harrison Mwakyembe nadhani amehemka tu, akasema ikibidi atakifuta Chama cha Wanasheria cha Tanganyika (TLS). Kauli ya Dk. Mwakyembe imetoka muda mfupi baada…
Katika hili Makonda amepatia
Leo nipo Makao Makuu ya nchi, Dodoma. Nimekuja kuendeleza uenezaji wa ujumbe wa haki ya kupata habari. Tumepata fursa ya kuendesha semina kwa wabunge na waandishi wa habari juu ya umuhimu wa wabunge kufanya kazi pamoja na vyombo vya habari….
Hakika Lukuvi anawezesha Watanzania
Mwaka 2004 aliyekuwa Rais wa Tanzania , Benjamin Mkapa alimleta nchini mtaalam wa uchumi, Prof. Hernando de Soto Polar (75 – sasa) kuzungumza jinsi ya kuwaondoa Watanzania katika lindi la umaskini. Nilipata fursa ya kuwapo kwenye mkutano huo uliofanyika katika…
Trump ameapishwa, Jammeh Ehe!
Nchini Marekani, mwezi Novemba, 2016 walifanya uchaguzi wa Rais. Aliyekuwa mgombewa wa Chama cha Republican, Donald Trump alishinda katika mazingira yaliyoshangaza wengi. Alimshinda aliyekuwa mgombea wa Democrat, Hillary Clinton. Ingawa Clinton alishindwa katika kura za majimbo, aliibuka mshindi katika kura…