Category: Sitanii
ACP Awadhi anaipa heshima polisi
Wiki iliyopita kulitokea sintofahamu kati ya dereva wa gari la Gazeti la JAMHURI na mmoja wa matrafiki. Baada ya tukio hilo nilibaini chembe chembe za uonevu na nikaamua kuchukua hatua za kisheria kupitia mkondo wa utawala dhidi ya askari aliyekamata…
Rais Magufuli umeokoa elimu
Jumamosi Aprili 15, 2017 imekuwa ya burudani kwangu. Nimeburudishwa na hotuba aliyoitoa Rais John Magufuli wakati akizindua mabweni ya wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kwanza ameniburudisha kwa kujenga mabweni yenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 3,840 kwa gharama…
Wabunge wetu, kodi ya nyumba
Leo najua Taifa linakabiliwa na matatizo mengi. Kuna wenzetu waliopotea kwa kusema ukweli. Sina uhakika kama kwa mwenendo huu nchi yetu itabaki salama. Wanaopotelewa na ndugu zao wakiungana, tutakuwa na jeshi kubwa la kupinga upoteaji. Sina uhakika pia kama kwa…
Dk. Mwakyembe karibu kwa wanahabari
Wiki iliyopita, Rais John Magufuli amefanya mabadiliko madogo katika Baraza la Mawaziri. Mabadiliko aliyofanya ni kumwondoa kwenye Baraza la Mawaziri, aliyekuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye na kumteua Dk. Harrison Mwakyembe kuziba pengo hilo. Dk. Mwakyembe…
La Lissu Wanasheria wamezungumza!
Wiki iliyopita Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameshinda urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika. Ushindi wa Lissu umetokea baada ya matukio kadhaa, ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani saa 24 kabla ya uchaguzi. Si hiyo…
La Lissu Wanasheria wamezungumza!
Wiki iliyopita Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ameshinda urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika. Ushindi wa Lissu umetokea baada ya matukio kadhaa, ikiwamo kukamatwa na kufikishwa mahakamani saa 24 kabla ya uchaguzi. Si hiyo…