Category: Sitanii
Raila Odinga anakuwa Rais Kenya (4)
Wiki iliyopita makala hii iliishia katika aya iliyosema; (Raila) Odinga mwenyewe na Najib Balala (Waziri wa sasa wa Utalii), waliwakilisha masilahi ya Mkoa wa Pwani, huku Kalonzo na Charity Ngilu wakiwakilisha masilahi ya Ukambani. (William) Ruto (kabla hawajafarakana), aliyekuwa ameuacha…
Raila Odinga anakuwa Rais Kenya (3)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa aya iliyosema; Pamoja na Rais Kenyatta kushinikizwa amkamate (Raila Odinga) kwa uhaini, alimtafuta kwa faragha na kuunda naye ushirika ambao unaonekana kuileta pamoja Kenya, ilikuwa inaelekea kutumbukia tena katika machafuko. Maafikiano haya yamezaa ‘utakatifu’ ambao…
Raila Odinga anakuwa Rais Kenya (2)
Wiki iliyopita niliandika sehemu ya kwanza ya makala hii nikieleza dalili ninazoziona kuwa mwanasiasa mkongwe wa Kenya, Raila Amolo Odinga, anakuwa Rais wa Kenya mwaka 2021. Odinga ambaye Wakenya wengi wanamwita “Baba”, amefahamika na kuwa kipenzi cha karibu makabila yote…
Odinga anakuwa Rais Kenya
Na Deodatus Balile, aliyekuwa Mombasa Kuna kila dalili kuwa mwanasiasa Raila Amolo Odinga (73), miaka minne ijayo atachaguliwa kuwa Rais wa Kenya, yaani mwaka 2021. Hivi karibuni nimepata fursa ya kuwa jijini Nairobi na baadaye nikasafiri hadi Mombasa, ambako nimepata…
Mfugale Flyover ni ukombozi
Na Deodatus Balile Kwa muda mrefu ninapokuwa safarini huangalia jambo la kurejea nalo nyumbani. Nimesafiri nchi kadhaa duniani, hivyo nashukuru Mungu kuwa kusafiri huko kumeniongezea uelewa. Katika nchi nyingi, iwe zilizoendelea au zinazoendelea, zimeweka mtazamo na msisitizo mpya katika miundombinu….
Mfugale Flyover ni ukombozi
Na Deodatus Balile Kwa muda mrefu ninapokuwa safarini huangalia jambo la kurejea nalo nyumbani. Nimesafiri nchi kadhaa duniani, hivyo nashukuru Mungu kuwa kusafiri huko kumeniongezea uelewa. Katika nchi nyingi, iwe zilizoendelea au zinazoendelea, zimeweka mtazamo na msisitizo mpya katika miundombinu….