JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (2)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kusema kuanzisha biashara ni sawa na kujenga nyumba. Nyumba iliyo bora inapaswa kuwa na ramani. Na si ramani tu, bali hesabu za vifaa vitakavyotumika. Hii itakuwezesha kujua utatumia saruji mifuko mingapi, nondo ngapi, mabati…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (1)

Wiki iliyopita nimehitimisha makala iliyokuwa ikiwasihi Rais John Magufuli na Waziri wa Fedha, Dk. Philip Mpango, kujenga wafanyabiashara nchini. Nimeandika makala hii katika matoleo matano yaliyopita, na nashukuru tayari maandishi yangu yamezaa matunda. Nilianza kuandika makala hizi baada ya Rais…

Rais Magufuli, Dk. Mpango jengeni wafanyabiashara (5)

Katika makala zilizopita nimeshauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuanzisha Kitengo cha Kuanzisha na Kukuza Biashara. Ni wiki ya tano sasa nikiwa naandika makala hii kuunga mkono uamuzi wa Rais John Magufuli na Waziri wa Fedha, Dk. Philip Mpango, kupiga…

Rais Magufuli, Dk. Mpango jengeni wafanyabiashara (4)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa kushauri Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuanzisha Kitengo cha Kuanzisha na Kukuza Biashara. Nimepata mrejesho mkubwa. Nimekuta kumbe vijana wengi wanataka kuanzisha biashara lakini hawafahamu ni wapi pa kuanzia. Sitanii, nimepata fursa ya kusoma…

Rais Magufuli, Dk. Mpango jengeni wafanyabiashara (3)

Wiki iliyopita katika makala hii nimezungumzia umuhimu wa kuwa na wafanyabiashara. Nimeeleza wafanyabiashara walivyo na fursa ya kutumia miundombinu inayojengwa kama reli kwa kusafirisha mizigo ya biashara, ndege kuwahi vikao na barabara kwa malori kusafirisha mizigo kila siku tofauti na…

Rais Magufuli, Dk. Mpango jengeni wafanyabiashara (2)

Aya mbili za mwisho za makala hii wiki iliyopita zilisomeka hivi: “Makala hii itakuwa ndefu kidogo. Leo nimeanza na utangulizi. Wiki ijayo, nitaeleza umuhimu wa kujenga wafanyabiashara wazawa. China ilifanya uamuzi huo mwaka 1979 kwa maelekezo ya Deng Xiaoping. Marekani…