Category: Sitanii
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (9)
Mpendwa msomaji, leo ni siku nyingine tunapokutana hapa. Nikiri wiki iliyopita nilihitimisha makala hii na maneno haya: “Mwisho, nawaomba wasomaji wangu, mniruhusu nisiwe ninawajibu maswali yenu kwa sasa kwani ni mengi. Nikiingia katika kujibu maswali hayo kama nilivyofanya leo, hakika…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (7)
Leo naandika makala hii nikiwa hapa Bukoba. Nimesafiri kutoka Dar es Salaam hadi Bukoba kwa kutumia usafiri wa gari dogo (IST). Kauli aliyopata kuitoa Rais John Pombe Magufuli kuwa ipo siku mtu atasafiri kwa teksi kutoka Mtwara hadi Bukoba, hakika…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (6)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa aya hii: “Kumbuka kuna biashara zina leseni zaidi ya moja, hivyo kama nilivyosema kabla ya kuanzisha biashara, unapaswa ufanye utafiti kufahamu aina ya biashara unayotaka kuifanya, eneo unalopaswa kufanyia, aina ya wateja, aina za…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (5)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa kuzungumzia ukadiriaji wa mapato/mauzo/mzunguko, kiwango ambacho hutumika kumkadiria kodi ya mapato mfanyabiashara. Kabla sijaendelea, yametukuta tena. Mtangazaji maarufu nchini, Ephraim Kibonde, amefariki dunia. Kibonde, ndiye alikuwa mwendesha shughuli ya maziko ya Ruge Mutahaba huko…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (4)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa aya hii: “Je, unafahamu taratibu zikoje ukifika TRA hadi unakadiriwa kiwango cha kodi utakayolipa kwa mwaka? Je, unafahamu ukiishalipa hayo malipo ya TRA ni ofisi ipi nyingine unapaswa kwenda kupata leseni ya biashara? Usiikose…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (3)
Wiki iliyopita nilieleza sehemu ya pili ya taratibu za kuanzisha biashara kwa mtu yeyote mwenye nia ya kufanya hivyo hapa Tanzania. Nimeandika mwendelezo wa hatua ya kwanza ambayo ni ‘wazo la biashara’ na nikagusia hatua ya pili ambayo ni ‘eneo…