Category: Sitanii
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (20)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuwasisitiza wafanyabiashara na wamiliki wa kampuni kuhakikisha wanafunga hesabu zilizokaguliwa na kuziwasilisha TRA. Ni imani yangu kuwa wengi kama si nyote mlitekeleza na kama hukufanya hivyo, wasiliana haraka na ofisi ya TRA iliyopo karibu…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (19)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuainisha mapato yatokanayo na ajira ambayo kisheria unapaswa kuyalipia kodi kama mwajiriwa. Ni wajibu wa mwajiri kukata kodi hiyo ya zuio kwa pato la mwajiriwa pale anapompatia malipo hayo kila mwezi. Sitanii, jambo moja…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (18)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kusema wiki hii nitaangalia taratibu na viwango vya kodi wanazolipa wafanyakazi walioajiriwa katika kampuni, taasisi au shirika, kisha ikiwa nafasi itaruhusu nitajadili kodi ya mashirika. Sitanii, kabla ya kuangalia kodi hizi naomba uniruhusu mpendwa…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (17)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa kueleza taratibu na kiwango cha kodi wanachopaswa kulipa wafanyabiashara wanaofanya biashara yenye thamani zaidi ya Sh milioni 20. Niliahidi kueleza taratibu za jinsi ya kutunza kumbukumbu na muda wa mtu kuwasilisha marejesho yake ya…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (16)
Nikiri nimeendelea kupata simu na maswali mengi kuhusu ‘Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania.’ Nimepata simu kutoka Rukwa, Katavi na maeneo ya mbali. Changamoto kubwa ninayoipata ni wahusika kukutana na makala hii katikati bila kusoma za mwanzo. Sitanii, ananipigia mtu anaulizia mambo…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (15)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala yangu kwa kuahidi kuwa kuanzia makala ya leo nitaanza kuzungumzia kodi na tozo mbalimbali katika biashara. Katika makala hii ya Jinsi ya Kuanzisha Biashara Tanzania, kupitia vitabu na sheria mbalimbali nilizosoma, nimebaini kuwa kuna kodi za…