JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (25)

Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji: “Mpendwa msomaji, je, unafahamu kodi inayoitwa Kodi ya Ongezeko la Mtaji (Capital Gains Tax) na inatozwa kwenye bidhaa zipi? Ni bidhaa mbili ambazo kwa njia moja au nyingine watu wengi hata wasiokuwa wafanyabiashara…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (24)

Wiki iliyopita nilihitimisha mada yangu kwa kuhoji iwapo msomaji unafahamu viwango vinavyotozwa kwenye Kodi ya Zuio. Nirudie kukiri kuwa hadi sasa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inacho kituo kimoja tu cha Elimu kwa Mlipakodi kilichopo Dar es Salaam. Baada ya…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (22)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuuliza maswali haya: “Je, mfanyabiashara unaufahamu mwaka wa kodi wa taasisi au kampuni yako? Unafahamu makisio na taarifa ya mapato ya biashara au shughuli zako yanafanywaje? Usikose sehemu ya 22 kupitia Gazeti la JAMHURI…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (21)

Wiki iliyopita sikuzama sana katika mada hii ya kodi. Nawashukuru wasomaji wangu kwa kuendelea kuniletea mrejesho mkubwa katika eneo hili la kodi. Hakika sikufahamu kuwa kumbe watu wengi wana matatizo ya jinsi ya kuanzisha biashara kiasi hiki hadi nilipoanza kuandika…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (20)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuwasisitiza wafanyabiashara na wamiliki wa kampuni kuhakikisha wanafunga hesabu zilizokaguliwa na kuziwasilisha TRA. Ni imani yangu kuwa wengi kama si nyote mlitekeleza na kama hukufanya hivyo, wasiliana haraka na ofisi ya TRA iliyopo karibu…

Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (19)

Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuainisha mapato yatokanayo na ajira ambayo kisheria unapaswa kuyalipia kodi kama mwajiriwa. Ni wajibu wa mwajiri kukata kodi hiyo ya zuio kwa pato la mwajiriwa pale anapompatia malipo hayo kila mwezi. Sitanii, jambo moja…