Category: Sitanii
Ukomo usiishie viti maalum pekee
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Machi 11, 2025 Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimetoa taarifa ya mabadiliko yaliyofanywa na Halmashauri Kuu ya CCM Machi 10, 2025. Mabadiliko yaliyotangazwa ni pamoja na kuongeza idadi ya wapiga kura za wagombea katika…
Trump anamaliza vita duniani
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Januari 14, 2025 niliandika makala yenye kichwa cha habari: “Trump kubadili sura ya dunia kuanzia Jumatatu.” Naomba kujinukuu japo aya chache katika makala hiyo. “Jumatatu ya wiki ijayo, Januari 20, 2025 kuanzia saa…
Rwanda hajaambiwa ukweli wote DRC
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita Tanzania imekuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mwenyeji wa mkutano huu, umeongozwa…
Trump kubadili sura ya dunia kuanzia Jumatatu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumatatu ya wiki ijayo, Januari 20, 2025 kuanzia saa 6:00 mchana, siku ambayo Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump, ataapishwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, dunia itabadilika na kuwa na sura mpya….
Rais Samia tusaidie kukataa dizeli SGR, hongera Dk. Biteko TANESCO
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo katika makala hii, naomba, narudia, naomba sana niandike juu ya mambo mawili. Mambo haya ni treni yetu ya mwendokasi (SGR) na uzinduzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa KV400 kutoka…
Tunazikaribisha Ngangari, Ngunguri na Nginjangija?
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Septemba 22, 2024 ni miaka 29 tangu baba yangu mzazi afariki dunia (wakati unasoma makala hii Jumanne Septemba 24, 2024 ni miaka 29 na siku 15). Baba yangu alifariki Septemba 12, 1995 akiwa…