JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Sitanii

Rwanda hajaambiwa ukweli wote DRC

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita Tanzania imekuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu Maalumu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Rais Samia Suluhu Hassan akiwa mwenyeji wa mkutano huu, umeongozwa…

Trump kubadili sura ya dunia kuanzia Jumatatu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumatatu ya wiki ijayo, Januari 20, 2025 kuanzia saa 6:00 mchana, siku ambayo Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump, ataapishwa kuwa Rais wa 47 wa Marekani, dunia itabadilika na kuwa na sura mpya….

Rais Samia tusaidie kukataa dizeli SGR, hongera Dk. Biteko TANESCO

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo katika makala hii, naomba, narudia, naomba sana niandike juu ya mambo mawili. Mambo haya ni treni yetu ya mwendokasi (SGR) na uzinduzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa KV400 kutoka…

Tunazikaribisha Ngangari, Ngunguri na Nginjangija?

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Septemba 22, 2024 ni miaka 29 tangu baba yangu mzazi afariki dunia (wakati unasoma makala hii Jumanne Septemba 24, 2024 ni miaka 29 na siku 15). Baba yangu alifariki Septemba 12, 1995 akiwa…

Mzee Mwinyi alijiuzulu akamsaidia Nyerere, Masauni msaidie Rais Samia

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki iliyopita nchi yetu ilipata mshituko. Si mshituko mdogo, bali wenye kishindo. Katika kipindi ambacho Rais Samia Suluhu Hassan anaponya vidonda vikubwa vilivyotokana na utawala wa Awamu ya Tano, ambapo Tanzania iliingia katika…

Rais Samia ana maamuzi magumu

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Usiku wa kuamkia leo tumeshuhudia kishindo kikubwa katika siasa za Tanzania. Kishindo hiki kimetokana na kalamu ya Rais Samia Suluhu Hassan, juu ya ‘maamuzi magumu’ aliyoyafanya kwa mawaziri wanne. Ametengua uteuzi wa mawaziri…