JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Mambo matano muhimu kwa Rayvanny nje ya WCB

NA CHRISTOPHER MSEKENA Wiki iliyopita Staa wa Bongo Fleva, Rayvanny, ameteka mitandao ya kijamii baada ya kutangaza kuachana na Lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz. Hatua hiyo imekuja baada ya Rayvanny kuwa mkubwa kiasi cha kuona sasa anaweza kujisimamia…

Ma-DJ warembo wanaosumbua Afrika

NA CHRISTOPHER MSEKENA Hivi karibuni wasichana wamekuwa mstari wa mbele katika kuchagiza mafanikio ya Bongo Fleva, hasa katika upande wa kuchezesha muziki kama ma-dj katika vituo vya utangazaji (redio na runinga), matamasha, klabu na kadhalika. Warembo kama DJ Fetty, DJ…

Mastaa Bongo Fleva wanaowasha moto katika tamthiliya

NA CHRISTOPHER MSEKENA Licha ya soko la filamu za hapa nyumbani kuyumba lakini tamthiliya zinaendelea kubaki katika ramani na kujizolea wafuasi wengi wanaofuatilia visa na mikasa inayopatikana ndani yake. Ongezeko la tamthiliya limetoa nafasi kwa wasanii mbalimbali, wakubwa kwa wadogo…

Uteuzi wa Steve Nyerere Shirikisho la Muziki uwashtue wasanii

DAR ES SALAAM NA CHRISTOPHER MSEKENA Miongoni mwa mambo yanayoirudisha nyuma sekta ya sanaa nchini ni utamaduni wa wasanii kupuuza mambo muhimu yaliyowekwa kwa ajili ya ustawi wao. Wiki jana tasnia ya burudani ilikuwa gumzo baada ya Shirikisho la Muziki…

‘Serengeti Festival yabadili sura Bongo Fleva’

DAR ES SALAAM Na Christopher Msekena Mwishoni mwa wiki jijini Dodoma lilifanyika tamasha kubwa la Serengeti, lililofanikiwa kukata kiu ya mashabiki na wapenzi wa Bongo Fleva kwa siku mbili mfululizo (Jumamosi na Jumapili). Tamasha hilo limefanyika katika msimu wa pili…

Jane: Harmonize ni mtoto wa Mungu

Dar es Salaam Na Christopher Msekena Omoyo ni miongoni mwa kadhaa nchini ambazo tangu kuwekwa kwake hadharani hazijawahi kuchuja.  Wimbo huo uliotoka zaidi ya miaka 10 iliyopita umeendelea kuwa burudani na baraka kwa mamilioni ya watu kwenye maeneo ya starehe,…