JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Bondia Class atamba kumchapa Mmexco

Bondia wa Tanzania Ibrahim Class anakabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa mpinzani wake kutoka Mexico, Gustavo Pina katika pambano la kimataifa la uzito wa feather litakalofanyika kesho (Septemba 30) kwenye ukumbi wa Mlimani City. Akizungumza mara baada ya kupima uzito…

Tanzania mwenyeji Mashindano ya Dunia ya Urembo kwa Viziwi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mashindano ya dunia ya utanashati, urembo na mtindo (Miss & Mister Deaf) kwa watu wenye matatizo ya kusikia ‘Viziwi’. Mashindano hayo yanatarajia kufanyika Oktoba 23 hadi 31 mwaka huu katika Ukumbi…

Koffi Olomide kufanya shoo Jijini Mwanza

Msanii Koffi Olomide maarufu Mopao anatarajia kufanya shoo katika ukumbi wa The Breez Complex ulioko Sabasaba barabara ya kuelekea Kiseke Jijini Mwanza. Akizungumza na waandishi wa habari jana Mratibu wa shoo ya Koffi Olomide Jijini hapa Victor, amesema msanii huyo…

Watanzania wamehamasika kushiriki Tamasha la JAMAFEST

Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Burundi Balozi wa Tanzania nchini Burundi Dkt. Jilly Elibariki Maleko amesema Watanzania wamehamasika na wamekuja kwa wingi katika Tamasha la Tano la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalofanyika kuanzia Septemba 4-12, 2022 nchini Burundi….

Tamasha la JAMAFEST linasaidia kukuza ushirikiano wa kikanda

Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Bunjumbura Tanzania inashiriki Tamasha la Tano la Sanaa na Utamaduni la Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) 2022 ambalo linafanyika nchini Bujumbura Burundi likiongozwa na Kaulimbiu “Kutumia Rasilimali za Kiutamaduni kukabiliana na Athari za UVIKO-19 kwa Nchi za Jumuiya…

Tanzania yashika nafasi ya 28 michezo ya Jumuiya ya Madola

Na Issa Michuzi,JamhuriMedia,Birmingham Tanzania imehitimisha ushiriki wake katika Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola jijini Birmingham, Uingereza, ikiwa katika nafasi ya 28 baada ya mategemeo yake manne ya mwisho kushindwa kuambulia chochote kwenye michezo yao usiku wa kuamkia leo….