JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Mahakama,Maliasili zang’ara riadha SHIMIWI

Wakati wanariadha Elibariki Buko wa Wizara ya Maliasili na Utalii na Justa George wa Idara ya Mahakama wameibuka kidedea kwa kutwaa ubingwa wa mita 3,000 kwa wanawake na wanaume katika mchezo wa riadha uliofanyika kwenye uwanja wa Shule Sekondari ya…

TAMISEMI yaichapa 2-0 RAS Shinyanga

Timu ya wanawake ya kuvuta kamba ya TAMISEMI imeshinda 2-0 dhidi ya mpinzani wake timu ya Ras Shinyanga katika michezo inayoendelea ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) Jijini Tanga. Mechi hiyo iliyochezwa leo Oktoba 6, 2022 katika viwanja vya…

Mil.300/- za wasanii zilizodhulumiwa zarejeshwa akiwemo marehemu King Majuto

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Bodi ya Filamu Tanzania imeunda kamati maalum ya kuhamasisha Watanzania kurejesha utamaduni wa kuangalia filamu katika kumbi za sinema. Hayo yamebainishwa na Katibu Mtendaji wa Bodi hiyo, Dkt. Kiagho Kilonzo leo Jumanne Oktoba 4, 2022…

NEC yawaburuza Bunge michezo ya SHIMIWI

Michuano Shirikisho la Michezo ya Wiraza na Idara za Serikali na Mikoa (SHIMIWI) imezidi kurindima katika viunga vya jiji la Tanga ambapo Timu za Kamba za Tume ya Taifa ya Uchaguzi zimeendeleza ubabe wao kwa timu za kundi E wanaume…

TAMISEMI Queens yaanza vyema mchezo wa kuvuta kamba SHIMIWI

TAMISEMI Queens wameanza vizuri mechi yao ya mchezo wa kuvuta kamba kwa kuwashinda pointi 2-0 Wizara ya Mambo ya Nje katika mshindano ya Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayoendelea Jijini Tanga. Mechi hiyo iliyochezwa…

Waziri Mkuu:Wizara ya afya ishirikishe kuchangia huduma za tiba

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameiagiza Wizara ya Afya iendelee kuhamasisha taasisi, na wadau kuchangia maeneo muhimu kama ya afya hasa yanayogusa jamii ikiwemo fistula, na saratani ambayo yanasumbua jamii. “Suala la kuchangia maendeleo na utatuzi wa changamoto za jamii ni…