JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Afrika Kusini kufanya tamasha lake la utamaduni nchini

Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imewataka Watanzania kujitokeza katika msimu wa Tamasha la utamaduni la Afrika ya kusini litakalofanyika kwa wiki moja. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Said Yakubu…

Dkt. Mpango kufungua Tamasha la Sanaa na Utamaduni Bagamoyo

Tamasha la Kimataifa la 41 la Utamaduni na Sanaa Bagamoyo linaanza leo Novemba 10, 2022 mjini Bagamoyo litakalojadili kwa kina masuala ya Sanaa na uchumi litalaloongozwa na Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa na kufunguliwa na Makamu wa…

Waitara kushiriki mashindano ya gofu Malawi

Na Meja Selemani Semunyu Wachezaji 12 wa Klabu ya Golf ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo wakiongozwa na Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali George Waitara wanatarajiwa kuondoka leo (Jumatano kuelekea Lilongwe Nchini Malawi kushiriki mashindano ya…

Mister na miss kiziwi wa dunia kupatikana Oktoba 29

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Mashindano ya Dunia ya Mister and Miss Kiziwi yanatarajia kufanyika oktoba 29 2022 katika ukumbi wa mikutano wa Kimatataifa( NJICC) na mgeni rasmi atakuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Makundi Maalumu,nakwamba yanakutasha washiriki kutoka nchi…

Wizara ya Elimu watinga robo fainali michuano ya SHIMIWI

Timu ya Wizara ya Elimu ya mchezo wa Kamba Wanaume wametinga hatua ya robo fainali ya Mashindano ya Shimiwi ya mchezo huo baada ya kuikung’uta timu ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuwavuta kwa seti 2-1, katika mchezo wa…