JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

HARMONIZE

Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (3)   TABORA NA MOSHY KIYUNGI Wiki iliyopita tuliona jinsi Harmonize alivyoweza kutunga nyimbo na kuzifanya akiwa peke yake, lakini pia alikuwa mkali wa kushirikisha wengine kwenye nyimbo zake kama ambavyo…

HARMONIZE

Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (2) TABORA, NA MOSHY KIYUNGI   Wiki iliyopita tuliona jinsi mwanamuziki Harmonize alivyoanza kushirikiana na wanamuziki wengine wakubwa kama Fally Ipupa katika kazi zake. Hilo lilianza kumpa umaarufu ambao aliendelea nao….

Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (1)

Wapo ambao walimsifia na wengine wakamponda wakati alipoamua kuhama kutoka kwenye lebo ya Wasafi na kuamua kusimama kivyake kama msanii anayejitegemea.  Lakini hiki alichokifanya msanii Harmonize ni moja ya mambo ambayo yanaonyesha kukua kwa msanii ingawa asipocheza vema gemu inaweza…

SAFARI YA DIAMOND PLUTNUMZ

Bila mama yake angekuwa wapi? (2) Baada ya kuhitimu elimu yake ya sekondari mwaka 2006, mwaka uliofuata – 2007, Diamond akajikita rasmi katika shughuli za muziki ili kujaribu kutimiza ndoto zake. Hata hivyo, hakupata mserereko kama ambavyo alitarajia, kwani alipitia…

SAFARI YA DIAMOND PLUTNUMZ

Bila mama yake angekuwa wapi? (1) Licha ya nongwa na maneno ya kumchafua kwenye mitandao ya kijamii, Diamond Platnumz, anaendelea kutesa katika gemu la muziki wa kizazi kipya nchini na sehemu nyingine duniani. Hivi karibuni msanii huyo alitunukiwa tuzo ya…

SIR NATURE

Aliokota chuma chakavu kusaka ada (2) Sir Nature akaanza kuimba peke yake akijikumbusha mashairi hayo lakini kitendo hicho kikaamsha hisia fulani ndani yake kuhusu muziki. Hisia hizo ndizo zilimfanya awashawishi vijana wenzake watatu kuanzisha kikundi kilichokuwa likijulikana kwa jina la…