Category: Burudani
Kutoka kuuza kahawa Kariakoo hadi chapuo la kuwa mbunge (1)
Wapo ambao walimsifia na wengine wakamponda wakati alipoamua kuhama kutoka kwenye lebo ya Wasafi na kuamua kusimama kivyake kama msanii anayejitegemea. Lakini hiki alichokifanya msanii Harmonize ni moja ya mambo ambayo yanaonyesha kukua kwa msanii ingawa asipocheza vema gemu inaweza…
SAFARI YA DIAMOND PLUTNUMZ
Bila mama yake angekuwa wapi? (2) Baada ya kuhitimu elimu yake ya sekondari mwaka 2006, mwaka uliofuata – 2007, Diamond akajikita rasmi katika shughuli za muziki ili kujaribu kutimiza ndoto zake. Hata hivyo, hakupata mserereko kama ambavyo alitarajia, kwani alipitia…
SAFARI YA DIAMOND PLUTNUMZ
Bila mama yake angekuwa wapi? (1) Licha ya nongwa na maneno ya kumchafua kwenye mitandao ya kijamii, Diamond Platnumz, anaendelea kutesa katika gemu la muziki wa kizazi kipya nchini na sehemu nyingine duniani. Hivi karibuni msanii huyo alitunukiwa tuzo ya…
SIR NATURE
Aliokota chuma chakavu kusaka ada (2) Sir Nature akaanza kuimba peke yake akijikumbusha mashairi hayo lakini kitendo hicho kikaamsha hisia fulani ndani yake kuhusu muziki. Hisia hizo ndizo zilimfanya awashawishi vijana wenzake watatu kuanzisha kikundi kilichokuwa likijulikana kwa jina la…