JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

Aeleza sababu ya Jua Kali kuvutia wengi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Msanii, mtunzi na mwongoza filamu, Leah Mwendamseke, maarufu kama Lamata, amesema uhalisia uliomo ndani ya tamthilia yake ya ‘Jua Kali’ ndiyo sababu ya kugusa mioyo ya watazamaji wengi. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Lamata…

Dayna amnasa Davido

DAR ES SALAAM  Na Regina Goyayi Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Dayna Nyange, yupo nchini Nigeria akiandaa nyimbo kadhaa zitakazokuwa kwenye EP (extended playlist) yake mpya. Akizungumza na JAMHURI, msanii huyo wa kike ambaye yupo kwenye mikakati ya kurejesha…

HADITHI; Maisha baada ya chuo – (3)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Tumuachie Mungu, Paul ni mtu anayejitambua, kama yuko hai atakuja,’’ alisema baba yake Paul, japokuwa kauli hiyo  ilikuwa  na hisia ya kukata tamaa ndani yake, akihisi mwanae pengine alikuwa amekufa au ametekwa na…

King Kiki naye yupo kitandani

Kikumbi Mwanza Mpango, maarufu kwa jina la King Kiki au Bwana Mukubwa, kwa sasa haonekani majukwaani kutokana na maradhi ya uti wa mgongo yanayomsumbua kwa muda mrefu. Taarifa hii inakuja wakati mkongwe mwingine wa muziki wa dansi nchini, Hassan Bitchuka,…

Ananga vituo vya redio

Imedaiwa kwamba kuporomoka kwa muziki wa dansi kumesababishwa na baadhi ya vituo vya redio zilizomo humu nchini kutokupiga muziki huo mara kwa mara. Madai hayo yametolewa na mwimbaji nguli, Khadija Mnoga ‘Kimobitel’, ambaye ametamka kuwa nyimbo za bendi za zamani…

JOSE CHAMELEONE

Mwanamuziki tajiri Uganda Jose Chameleone yaelezwa kuwa ndiye mwanamuziki anayeongoza kwa utajiri nchini Uganda, akikadiriwa kuwa na utajiri unaofikia Sh bilioni 1.5 za Tanzania. Aidha, anamiliki majengo ya thamani kubwa ya kukodisha (apartments), ziitwazo Daniella Villas, jijini Kampala na studio…