Category: Burudani
Defao ‘alivyopigwa’ na wajanja
TABORA Na Moshy Kiyungi Ukimwona kwenye runinga akinengua huwezi kuamini kwamba mwanamuziki mkongwe wa DRC, Jenerali Defao, ana zaidi ya miaka 60 sasa. Defao alizaliwa Desemba 03, 1958 Kinshasa, DRC, akiitwa Mutomona Defao Lulendo. Ni mwanamuziki mwenye kipaji cha kutunga…
KUMBUKIZI YA SALUM ABDALLAH… Aliacha duka akatorokea Mombasa
Mpenzi wangu utaniponza, Kwa mambo unayoyafanya, Mpenzi unatuchonganisha, Mimi na yule ni rafiki, Wewe watupambanisha, Mpenzi utaniumiza. Wajaribu kunidanganya, wanambia yule wangu mwana, Kumbe pembeni ni wako bwana, Mpenzi utaniumiza, Yule ulisema yule kaka, Kumbe mafuta ulinipaka, Pembeni huwa hekaheka, …
Saida Karoli… Almasi iliyookotwa kijijini
TABORA Na Moshy Kiyungi Simulizi zinasema zamani wenyeji wa Shinyanga walikuwa wakiokota mawe yanayong’ara bila kutambua kuwa ni mali. Wazungu walipoyaona mawe hayo mara moja wakatambua kuwa ni almasi, madini yenye thamani. Inadaiwa kuwa wakaanza kuwalaghai wenyeji kwa kubadilishana mawe…
Kimobiteli: Binti wa Kizanzibari aliyeanzia Shikamoo Jazz band
TABORA Na Moshy Kiyungi Ukitazama ghafla jukwaani unaweza kudhani kuna mtoto wa shule aliyepanda kuimba na kunengua, lakini kumbe ni mwanamuziki maarufu wa dansi nchini, Khadija Mnoga. Umbo lake dogo na sura yenye bashasha muda wote, sambamba na umahiri wake…
LES MANGELEPA Wacongo walioweka maskani Nairobi
TABORA Na Moshy Kiyungi Baadhi ya wanamuziki wa Orchestra Baba Nationale ‘walichomoka’ baada ya kutokea kutoelewana kati yao na uongozi, wakaunda kikosi cha Les Mangelepa. Hiyo ilikuwa ni Julai 1976, wakiongozwa na Bwammy Walumona ‘La Capitale’, wakimuacha Ilunga Omer Ilunga…
KUMBUKIZI YA FRANCO: Kilichotundikwa na mrefu, mfupi hawezi kukitungua
TABORA Na Moshy Kiyungi Wahenga walinena kwamba kilichotundikwa na mrefu, mfupi hawezi kukitungua. Usemi huo ulijidhihirisha baada ya mwanamuziki nguli, Franco Luambo Luanzo Makiadi, kufariki dunia mwaka 1989. Baada ya hapo bendi yake; T.P.OK Jazz, ikatoweka katika anga la muziki…