Category: Burudani
Profesa Jay anastahili heshima hii
Dar es Salaam Na Christopher Msekena Wiki chache zilizopita zimekuwa mbaya kwa rapa gwiji nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ambaye amekuwa akipatiwa matibabu ya maradhi yanayomsumbua katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Licha ya kuwapo kwa ufaragha wa familia kuhusu kinachomsumbua…
MIRABAHA… Mwanzo mzuri, sanaa nyingine zifikiriwe
Dar es Salaam Na Christopher Msekena Mamia kwa maelfu ya wasanii wa muziki nchini wameufungua mwaka 2022 kwa kicheko wakipokea gawio (au mirabaha) ya kazi zao kutoka serikalini kupitia Chama cha Hakimiliki (COSOTA). Katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar…
STEVE WONDER… Mkongwe mwenye ukwasi mkubwa
Tabora Na MoshyKiyungi Hoja kwamba ulemavu si tija na kwamba mlemavu akipewa nafasi anaweza, huenda ikachukuliwa kama mpya miongoni mwa jamii. Wapo walemavu kadhaa waliofanikiwa kimaisha na kuwa mfano wa kuigwa kwa jamii katika fani mbalimbali, ikiwamo muziki. Mmoja wapo…
Miaka 43 ya kifo cha Mbaraka Mwinshehe
TABORA Na Moshy Kiyungi Miongoni mwa wanamuziki maarufu zaidi kuwahi kutokea nchini na kutikisa anga la muziki Afrika ni Mbaraka Mwinshehe Mwaluka. Huenda kwa sasa ameanza kusahaulika lakini ukweli ni kwamba nyimbo zake kadhaa alizotunga au kuimba miaka ya 1970…
Msanii wa Nigeria kutangaza utalii
Dar e Salaam Na Mwandishi Wetu Msanii nyota wa filamu wa Nigeria, James Ikechukwu Esomugha, maarufu kama ‘Jim Iyke’ anatarajiwa kuwasili nchini baadaye mwezi huu kwa ziara maalumu ya kikazi. Iyke, anayetamba na filamu yake mpya iitwayo ‘Bad Comments’, akiwa…
BABA GASTON Mtunzi wa ‘Kakolele’, wimbo usiochuja
TABORA Na Moshy Kiyungi Msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka 2021 unamalizika na kama ilivyo kwa miaka mingine, zipo nyimbo kadhaa ambazo husikika zaidi nyakati hizi pekee. Mmoja miongoni mwa nyimbo hizo ni ‘Kakolele’, maarufu kama ‘Viva Krismasi’. Wimbo…