Hatimaye bunge limefanya uamuzi wa kumuondoa naibu wa rais wa Kenya Rigathi Gachagua kupitia kura iliopigwa.

Katika kura iliopigwa kuamua hatma yake, wabunge 281 waliunga mkono hoja ya kumuondoa kiongozi huyo madarakani huku wabunge 44 wakipiga kura ya kupinga na mbunge mmoja akikataa kupiga kura.

Please follow and like us:
Pin Share