Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
January 12, 2024
Habari Mpya
Baadhi ya Wakuu wa Nchi waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Jamhuri
Comments Off
on Baadhi ya Wakuu wa Nchi waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Baadhi ya Wakuu wa Nchi waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama wakati Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa katika Uwanja wa Amani katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar tarehe 12 Januari,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono wananchi waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Wananchi na wageni mbalimbali waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa salamu fupi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika kwenye uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Viongozi mbalimbali waliohudhuria Sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika katika uwanja wa Amani tarehe 12 Januari,2024.
Post Views:
473
Previous Post
Meneja TANROAD Ruvuma afariki ghafla wakati akishiriki mbio za Km 5
Next Post
Utekelezaji wa ufugaji samaki kwa vizimba waanza ziwa Tanganyika
Soma Gazeti la Jamhuri Februari 4 -10, 2025
Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25
Rais Samia ataka Majaji kutokuwa Miungu watu na badala yake watoe haki bila upendeleo
Rais Samia: Mahakama ina mchango mkubwa kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake
Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 48 ya CCM
Habari mpya
Soma Gazeti la Jamhuri Februari 4 -10, 2025
Uwanja wa AFCON Arusha wafikia asilimia 25
Rais Samia ataka Majaji kutokuwa Miungu watu na badala yake watoe haki bila upendeleo
Rais Samia: Mahakama ina mchango mkubwa kuiwezesha Tanzania kufikia malengo yake
Rais Samia mgeni rasmi maadhimisho ya miaka 48 ya CCM
Serikali kufanya jitihada za kudhibiti madhara ya mmonyoko na kupanuka kwa kingo za mito
Azma ya Serikali ni kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika wakati wote – Kapinga
Rais Samia ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini Dodoma
INEC yatoa vibali 157 elimu ya mpiga kura
Shabiki wa soka achomwa kisu hadi kufa wakati wa mechi ya Ligi Kuu ya Ghana
Kutoka bungeni Dodoma
Changamoto ya wafanyabiashara wageni kufanyakazi za Watanzania kutatuliwa
TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa baadhi ya mikoa
Rais Samia ameing’arisha Chamwino kimaendeleo – Dk Biteko
Dk Masika aridhishwa utekelezaji mradi wa Membe