Author: Jamhuri
Balotelli aichanganya Italia
…Ageuka pia kuwa shujaa barani Afrika
Mapema mwaka huu, Mario Balotelli aliachwa katika timu ya taifa ya Italia (Azzurri) iliyocheza na Marekani Jumamosi, Februari 29, lakini Alhamisi iliyopita ghafla aliichanganya Italia alipoipeleka kucheza mechi ya fainali za Euro 2012 hapo juzi, Jumapili, dhidi ya Hispania mjini hapa.
Kero ya ombaomba wa London
Kwa asili nachukia kuomba bila sababu na nilijengewa tabia hiyo na wazazi waliotumia vyema nguvu zao kujitegemea na kututegemeza.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Je, machozi ya walimu yatamimina fedha mitaani?
Tulizoea kusikia walimu wakilalamika, lakini safari hii wameamua kulia, na machozi yao yameonekana kupitia nia waliyoionyesha. Walimu sasa wametangaza mgogoro uliobeba mimba dhidi ya Serikali; ambako usipotatuliwa unatarajiwa kuzaa mgomo usio na kikomo.
Washington: Utumwa unanik
“Ninaloweza kusema ni kwamba hakuna mtu aliye hai mwenye kutamani kwa dhati kuona utumwa unakomeshwa zaidi yangu.”
Haya ni maneno aliyoyasema Rais wa Kwanza wa Marekani, George Washington, wakati wa harakati wa kulipatia taifa hilo uhuru kutoka kwa Waingereza. Marekani ilipata uhuru wake mwaka 1776.
****
Waislamu wenye akili hawa hapa
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa miongoni mwa wale tuliotoa wito kwa wapendwa ndugu zetu Waislamu, kuwapuuza kina Sheikh Ponda na mwenzake Kundecha – ambao kila mara wamekuwa vinara wa migogoro na kuibua mambo yasiyo na tija kwa Waislamu na Watanzania.
Habari mpya
- Wafanyabiashara waipa kongole TPA kuboresha huduma za bandari na kuongeza mapato ya Serikali
- Rais Samia amlilia Papa Francis
- Papa Francis afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88
- Dunia yapata pigo kwa kumpoteza Papa Francis
- Mchungaji Dk Getrude Rwakatare aendelea kukumbukwa
- Serikali yashauriwa kumwachia huru Lissu na wenzake
- Papa awatakia waumini Pasaka njema
- Watu wenye silaha wamewaua takribani watu 56 Nigeria
- Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi
- Askofu Chilongani : Serikali, CHADEMA kaeni meza moja mmalize tofauti zenu
- Balozi Matinyi : Nitatumia mbinu za kihabari kung’amua na kujifunza mikakati ya kuvutia utalii
- Waziri Majaliwa atoa rai kwa viongozi wa dini kuombea Uchaguzi Mkuu 2025
- Wanane wachukua fomu kugombea Jimbo la Wete
- Dk Biteko awaasa wakristo kuliombea taifa
- Mchungaji Mbeya auawa kwa tuhuma za ushirikina