Author: Jamhuri
Bila reli, barabara zitakufa
Wizara ya Ujenzi, kama zilivyo wizara nyingine, ni miongoni mwa wizara chache ambazo ni mihimili ya maendeleo ya taifa letu.
Tanzania, tofauti na makoloni mengine, iliachwa na watawala dhalimu ikiwa haina barabara, si za lami tu, bali hata za changarawe.
Magufuli moto mkali
*Atangaza kimbunga kwa wavamizi wa barabara
*Afumua mtandao wa ufisadi, gharama ujenzi zashuka
*Flyovers kuanza kujengwa kwa kasi jijini D’ Salaam
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza kiama dhidi ya wavamizi wa hifadhi za barabara nchini, huku akifanikisha kushusha gharama za ujenzi kutoka Sh bilioni 1.8 kwa kilomita moja hadi Sh milioni 700.
Hospitali ya Jeshi Lugalo kupandishwa daraja
Serikali imeaanza mipango ya kuipandisha Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, kuwa Hospitali ya Rufaa, Bunge limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Lundenga: Miss Tanzania imeitangaza nchi
Kwa muda wa miaka 18 iliyopita, mashindano ya Mrembo wa Tanzania yamekuza utamaduni, utalii na uwekezaji wa kigeni. Si hilo tu, mashindano haya yamewapa fursa mpya ya kujitambua wasichana Watanzania, anasema mwandaaji wa mashindano hayo, Hashim Lundenga.
Chadema sasa wadai rasmi Serikali ya Tanganyika
Hii ni sehemu ya maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Tundu Lissu kuhusu Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013. Endelea
Katika maoni yetu kuhusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilionyesha jinsi ambavyo “tafsiri hii mpya ya Makubaliano ya Muungano na Katiba ya Jamhuri ya Muungano imetiliwa nguvu kubwa na Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo imeipa Zanzibar nafasi na ushawishi mkubwa katika utungaji wa Katiba Mpya.”
Habari mpya
- Wafanyabiashara waipa kongole TPA kuboresha huduma za bandari na kuongeza mapato ya Serikali
- Rais Samia amlilia Papa Francis
- Papa Francis afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88
- Dunia yapata pigo kwa kumpoteza Papa Francis
- Mchungaji Dk Getrude Rwakatare aendelea kukumbukwa
- Serikali yashauriwa kumwachia huru Lissu na wenzake
- Papa awatakia waumini Pasaka njema
- Watu wenye silaha wamewaua takribani watu 56 Nigeria
- Zelenskiy ametoa salamu za Pasaka kwa kuilalamikia Urusi
- Askofu Chilongani : Serikali, CHADEMA kaeni meza moja mmalize tofauti zenu
- Balozi Matinyi : Nitatumia mbinu za kihabari kung’amua na kujifunza mikakati ya kuvutia utalii
- Waziri Majaliwa atoa rai kwa viongozi wa dini kuombea Uchaguzi Mkuu 2025
- Wanane wachukua fomu kugombea Jimbo la Wete
- Dk Biteko awaasa wakristo kuliombea taifa
- Mchungaji Mbeya auawa kwa tuhuma za ushirikina