Author: Jamhuri
Madai ya Tundu Lissu yachunguzwe
Katika gazeti la leo kuanzia ukurasa wa kwanza tumechapisha ripoti maalum yenye kuonyesha hali ya wasiwasi katika muhimili wa tatu wa dola uliokasimiwa jukumu la msingi la kutoa haki. Wasiwasi huu umeibuliwa na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
Kagasheki akimweza huyu, ataweza kila kitu
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), aliubua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited, mkataba ambao umetengenezwa na kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys na kusainiwa Machi 23, 2007.
Wabunge waunga mkono msimamo wa Morocco
Bunge la Tanzania linaunga mkono msimamo wa Morocco katika kupata ufumbuzi wa mgogoro kati ya taifa hilo na taifa la Sahara Magharibi. Mwaka 1975 uliibuka mgogoro wa ndani kati ya Morocco na taifa la Sahara Magharibi linalotaka kujitangazia Uhuru. Mgogoro huu uliofanya Sahara Magharibi kujenga ukuta kama wa Berlin kule Ujerumani, umekuwa na madhara makubwa ndani ya taifa la Morocco.
Malawi waigwaya kipigo JWTZ
* Taarifa za kiintelejensi za Jeshi letu zawaogopesha
* Ndege za utafiti zaondolewa upande wa Tanzania
* Makamanda wasisitiza kuendelea kuulinda mpaka
* Waingereza walipotosha mpaka
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linaendelea kuimarisha ulinzi katika mpaka wa Tanzania na Malawi, licha ya taifa hilo dogo lililopo kusini mwa Afrika kuonyesha nia ya kutotaka kuingia katika vita, lakini pia gazeti la JAMHURI limebaini chimbuko la historia ya upotoshaji katika mpaka wa nchi hizi.
Mjue Kada wa CCM Mohsin Abdallah
*Tume ya Jaji Warioba ilianika madudu yake
*Ni bilionea anayehodhi vitalu vya uwindaji
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) aliuibua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited uliotengenezwa na Kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys, na kusainiwa Machi 23, 2007.
- Zaidi ya bilioni 19 kutumika kwa ujenzi wa barabara, madaraja Manyara – RC Sendiga
- Wabunge waitaka Wizara ya Fedha iipe fedha Wizara ya TAMISEMI itekeleze majukumu yake
- eMrejesho V2 yachaguliwa kuwania Tuzo za WSIS 2025
- Makamu wa Rais kufungua Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii wa Vyakula Arusha
- Serikali yakifungia kituo cha tiba Dar
Habari mpya
- Zaidi ya bilioni 19 kutumika kwa ujenzi wa barabara, madaraja Manyara – RC Sendiga
- Wabunge waitaka Wizara ya Fedha iipe fedha Wizara ya TAMISEMI itekeleze majukumu yake
- eMrejesho V2 yachaguliwa kuwania Tuzo za WSIS 2025
- Makamu wa Rais kufungua Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii wa Vyakula Arusha
- Serikali yakifungia kituo cha tiba Dar
- Wananchi Dodoma waipa heko bajeti ya TAMISEMI
- Ulega atoa siku 30 kwa mkandarasi barabara ya Nsalaga – Fisi kuweka lami
- Kambi ya madaktari bingwa, Comoro yaipa sifa Tanzania
- Rais Samia ampongeza Alphonce kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania
- Chuo kikuu cha Harvard chaushitaki utawala wa Trump
- Mbunge Byabato ameiweza Bukoba
- Polisi, DCEA wakamata shehena ya bangi ikitoka Malawi
- ACT- Wazalendo yaguswa kifo cha Papa Francis
- Papa alifariki kutokana na kiharusi na mshtuko wa moyo – Vatican
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 22- 28, 2025