Author: Jamhuri
Barack Hussein Obama ni nani?
Barack Hussein Obama alizaliwa Agosti 4, 1961. Ni Rais wa 44 na Rais wa sasa wa Marekani. Ni Raia wa Marekani na Rais wa kwanza mwenye asili ya Afrika kushika wadhifa huo. Pia ni mtu wa kwanza aliyezaliwa Hawaii kushika nafasi hiyo.
FASIHI FASAHA
Haki, ukweli ni nguzo za amani – 4
Katika makala tatu zilizotangulia nimezungumzia baadhi ya viongozi wa dini, siasa na wa serikali kutupilia mbali maadili na miiko ya uongozi na kuwa chanzo cha kutaka kuvunja amani ya nchi. Pili, haki na ukweli ni nguzo za amani.
Walioficha mabilioni Uswisi wahojiwa
*Kwenye orodha wamo majenerali wa JWTZ
*Mboma, Sayore, Yona, Chenge, Mgonja ndani
*AG akiri kazi ni ngumu, aomba waongezwe muda
*Asema mwanga muhimu umeanza kuonekana
Kamati iliyoundwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kuchunguza Watanzania walioficha fedha kwenye mabenki ughaibuni, imeshawahoji vigogo, wakiwamo mawaziri wa zamani, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama, wanasiasa na wafanyabiashara maarufu.
Yah: Bajeti ikusanyiwe maoni kama katiba
Nilikuwa nasikia kutoka kwa watu kwamba bajeti ni vilio kila kona, sikuelewa, kwa sababu bajeti si msiba ama majanga lakini nilipoipata baada ya hiyo digitali kunifikia, nimeona huo msiba ni wa aina gani.
KAULI ZA WASOMAJI
Gharama KCMC zinatisha
Serikali inajitahidi kuboresha huduma kwa wananchi wenye kipato cha chini, lakini baadhi ya hospitali haziko kwa ajili ya huduma za tiba ila ni biashara tu! Ni Watanzania wangapi wanaweza kumudu gharama za sasa za KCMC kama sio kufa kwa wagonjwa?
Mtanzania mzalendo, Moshi
UWASATA wasaka nguvu kusaidia yatima
Umoja wa Watuma Salamu Tanzania (UWASATA) unahitaji nguvu ya wahisani uweze kuongeza misaada kwa watoto yatima na wanaoishi katika mazingira hatarishi nchini.
Habari mpya
- Kamati ya Bunge yapongeza miradi ya TEHAMA, yataka wabunifu walindwe
- Wachimbaji wadogo waishukuru Serikali
- Nchi 43 kupigwa marufuku kusafiri Marekani
- Marekani yamfukuza balozi wa Afrika Kusini kwa kumchukia Rais Trump
- Dkt. Ndumbaro azitaka Bodi za Wadhamini zising’ang’anie madaraka
- Prof. Janabi miongoni mwa wagombea watano kumrithi Ndugulile WHO
- Waziri Kikwete aitaka Bodi ya Wadhamini NSSF kuzingatia miongozo
- Watanzania waombwa kuchangamkia fursa za masomo India
- Zaidi ya leseni 4,000 kutolewa Mbogwe
- Tanzania, Barbados kuimarisha ushirikiano
- Mkenda: Tutaendelea kuimarisha ushirikiano sekta ya nguo na mavazi
- Simba yaifanyia umafia Dodoma Jiji, yainyuka 6 -0
- Tanzania, Ireland kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na maendeleo
- Kamati ya Bunge yaridhishwa na utendajikazi wa TPA bandari ya Tanga
- Askari wa Usalama Barabarani Mlandizi watakiwa kuendelea kusimamia vyema sheria