Author: Jamhuri
Dorothy kupambana na Rais Samia
Baada ya kutangaza nia ya kugombea Urais, hatimaye Dorothy Semu amechukua fomu ya kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu wa Mipango na Uchaguzi Taifa Ndugu, Shaweji Mketo katika Ofisi za Makao Makuu ya…
RC Chalamila atoa onyo kwa wanasiasa wanaofanya mikutano Kariakoo
Baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Heche na wafuasi wake kukamatwa na Jeshi la Polisi maeneo ya Kariakoo wakifanya mkutano wa hadhara, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Saalam, Albert Chalamila, amesema kuwa anaunga…
Wataalam kutoka ofisi za Umoja wa Afrika watembelea TMA
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imepokea timu ya wataalamu kutoka Ofisi za Umoja wa Afrika (AUC) wanaoratibu utekelezaji wa mradi wa kuboresha huduma za hali ya hewa wa “Intra-ACP Climate Services and related Applications Programme (ClimSA)”. Ziara hiyo…
Maadhimisho ya Muungano 2025 kufanyika Kimikoa
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka huu yatafanyika Kimikoa ambapo kilele chake kitakuwa Aprili 26, 2025. Amesema tangu…
Vitongoji 82 Tarime vijijini kupelekewa umeme na mradi wa HEP IIB – Kapinga
📌Taasisi 3000 zaunganishiwa umeme na fedha za Covid 19 Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili B (HEP IIB) ambapo tayari zabuni ya…
Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya TAMISEMI Trilioni 11.78 kwa mwaka 2025/2026
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepitisha kwa kauli moja bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa mwaka wa fedha 2025/26 yenye takribani Shilingi trilioni 11. 783 kwa ajili ya…