JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mradi wa Tanzania ya kidijitali wafikia asilimia 80

Na Happy Lazaro,JamhuriMedia, Arusha SERIKALI imesema mradi wa Tanzania ya Kidijitali unaofadhiliwa na. Benki ya Dunia umefikia asilimia 80 ya utekelezaji 1wake, lengo likiwa ni kuweka mazingira wezeshi, kutoa huduma bora na miundombinu wezeshi kwa wananchi ili wanufaike na mradi…

Wathaminishaji madini wajengewa uwezo

Watakiwa kuwa waadilifu Wathaminishaji wa madini wametakiwa kuwa waadilifu na kutumia taaluma yao vizuri ili kuepuka makosa madogo madogo Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala wa Tume ya Madini, Nsajigwa Kabigi wakati akifungua kikao cha wathaminishaji…

Mfumuko wa bei waongezeka Kenya

Mfumuko wa bei wa kila mwaka nchini Kenya (KECPI=ECI), unafungua orodha mpya ya ongezeko kwa mwezi wa nne mfululizo hadi 3.5% mwezi Februari kutoka 3.3% mwezi Januari, ofisi ya takwimu ilisema Ijumaa. Mfumuko wa bei wa kimsingi ulisalia kwa 2.0%…

Mkutano wa JPCC wazaa matunda, Waziri Kombo arejea makubaliano muhimu

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amerejea nchini baada ya kushiriki Mkutano wa Sita wa Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano (JPCC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na…