Author: Jamhuri
Sekta ya Madini yachangia asilimia 10.1 Pato la Taifa
Rais Samia apongezwa kwa mageuzi makubwa ya sekta ya madini Wizara yafikia lengo kabla ya mwaka 2025 *Mavunde awashukuru watendaji, watumishi na wadau * NA Mwandishi Wetu, JakhuriMedia, Dodoma Wizara ya Madini imetangaza kuwa Sekta ya Madini hapa nchini imepiga…
Makamu wa Rais afungua mkutano wa utalii wa vyakula
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa wadau wa utalii wa vyakula kuwekeza zaidi katika kuandika vitabu vya vyakula vya Kiafrika na machapisho ya kuandaa mapishi ili kuongeza ujuzi na kupunguza…
Upinzani Uturuki waitisha maandamano nje ya bunge
Upinzani nchini Uturuki, umewataka wafuasi wake kukusanyika nje ya majengo ya bunge mjini Ankara leo Jumatano, kupinga marufuku iliyotangazwa rasmi dhidi ya mikusanyiko. Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani cha CHP, Ozgur Ozel, amesema atahutubia nje ya bunge wakati nchi…
Mwili wa Papa Francis wawasili Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro
Mwili wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis umehamishwa hadi kwenye Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro ambapo maelfu ya watu watapata fursa ya kutoa heshima zao za mwisho kwa muda wa siku tatu. Ni kwa nyimbo za ibada huku…
Dk Biteko awataka Watanzania kutogawanyika wakati wa uchaguzi mkuu
📌 Asema Serikali ya Rais Samia itahakikisha miradi ya maendeleo inagusa wananchi 📌 Aelezea upekee wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar 📌 Asema Rais Samia anasema na kutenda Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri…