JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tume ya Madini yatoa bei mpya madini ya vito

TUME ya Madini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi na Biashara ya Madini, imekutana na wadau wa madini ikiwemo Wathaminishaji wa Madini, Wachimbaji Wadogo na Wanunuzi ili kupanga bei elekezi ya madini ya vito. Akizungumza jijini Dodoma, Mkurugenzi wa Ukaguzi na Biashara…

RT yafanya marekebisho ya usimamizi wa mchezo wa riadha nchini

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mwanza Mkutano maalumu wa marekebisho ya katiba ya Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) umefanyika jijini Mwanza kwa kuhusisha wadau mbalimbali wa michezo na viongozi wa Riadha kutoka mikoa zaidi ya 20 ya Tanzania Bara. Lengo kuu…

Mkuu wa Majeshi awavisha nishani maafisa wa JWTZ Kanda ya Songea

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Rais na Amiri Jeshi Mkuu Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali, Maafisa na Askari wa JWTZ Kanda ya Songea. Miongoni mwa waliovishwa…