Author: Jamhuri
Wataalam watoa dawa za usingizi na ganzi tiba nchini wakutana Arusha
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Chama cha Wataalamu Watoa Dawa za Usingizi na Ganzi Tiba Tanzania ( TANPA) kimekutana mkoani Arusha kwa lengo la kujadili namna ya kuondoa changamoto zilizopo kwa wataalamu hao na kuweza kuboresha utoaji wa huduma katika…
JOWUTA, IFJ na THRDC kutoa mafunzo ya kuripoti uchaguzi mkuu
Mwandishi wetu,Dar es Salaam. Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari nchini(JOWUTA) kwa kushirikiana na shirikisho la kimataifa la waandishi duniani(IFJ) na Mtandao wa watetezi wa haki za binaadamu(THRDC) wanatarajia kuanzia mwezi huu kutoa mafunzo kwa waandishi wa habari nchini…
Rais Dkt. Samia kuzindua Benki ya Ushirika mkoani Dodoma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Bank ya Ushirika Tanzania (CoopBankTanzania), mkoani Dodoma lengo likiwa ni kufufua benki za kijamii zilizofilisika nchini. Akizungumza jana mkoani Dodoma Waziri wa Kilimo Husein Bashe, amesema…
Pembe : Polisi, Wizara kuchunguza tukio la kudhalilishwa mtoto
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WMJJWW), Riziki Pembe Juma amesema Wizara hiyo inaendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi ili kuona upelelezi wa kesi ya Mtuhumiwa Ramadhani Hamza Hussein (28) Mkaazi wa…
‘Nchi imeendelea kujitosheleza kwa chakula kwa asilimia 128’
*Utoshekevu huo umetokana na ongezeko la matumizi ya mbolea ya ruzuku *Mbolea ya ruzuku ya Sh Bilioni 131 ilisambazwa kwa wakulima katika mwaka 2024/2025 Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema nchi imeendelea kujitosheleza kwa chakula kwa asilimia 128,…
Waziri Mkuu : Trilioni 1.59 zatumika kuunganisha umeme vijiji 4,071
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema tangu Novemba, 2020 hadi Februari, 2025 Serikali imeunganisha umeme katika vijiji 4,071 kwa gharama ya sh. bilioni 1,593 na hivyo kuwezesha vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara kuunganishwa na umeme. “Hatua inayofuata baada ya kukamilisha…