JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Nape asimamia msimamo Panga CCM liko palepale

Na Angela Kiwia   Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, anasema kwamba kada yeyote atakayepatikana na hatia ya kukiuka maagizo au taratibu za Chama Cha Mapinduzi (CCM), atachujwa tu.   Kadhalika, amesema kwamba kwa watakaokatwa…

Kikwete ana mgombea wake kwenye koti

Kwa muda sasa nimefuatilia kinachoendelea ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nimefuatilia kwa karibu kitu kinachoitwa mchakato wa kumpata mgombea urais kupitia chama hicho kikongwe. Bila kuuma maneno, nasema mchakato umejaa mizengwe. Bila kupepesa macho nasema inawezekana Rais Jakaya Kikwete…

Kweli Afrika Kusini wamesahau fadhila?

Moja ya habari zilizochapishwa kwenye gazeti hili katika toleo lililopita ilihusu tamko la Mfalme wa Kwa Zulu Natal, Goodwill Zwelethini, aliyechanganya mambo.   Mfalme Zwelethini anatajwa kuwa nyuma ya vurugu zilizotikisa Afrika Kusini wiki kadhaa zilizopita, ambako aliwaambia wananchi, “Wageni…

CCM ni ya kuzikwa tu Oktoba 2015

Watanzania, mabadiliko ni leo si kesho; mabadiliko ni wiki hii si wiki ijayo; ni mwezi huu si ujao, mabadiliko ni mwaka huu si mwakani. Kesho hujaiona na hujui itakuaje, lakini uamuzi wako wa leo unaweza kuharibu kesho yako au unaweza…

JAMHURI latikisa tuzo za Ejat

Waandishi wa habari wa Gazeti la JAMHURI, Deodatus Balile na Victor Bariety, mwishoni mwa wiki iliyopita walijinyakulia tuzo za umahiri wa uandishi wa habari nchini (EJAT), zinazotolewa kila mwaka na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Balile aliongoza katika kundi la…

Mpinzani gani hana vinasaba vya CCM?

Weledi wa Sayansi ya Siasa wanaitambulisha siasa kuwa ni mfumo wa maridhiano unaohusisha kikundi cha watu walioafikiana kuwa na uamuzi wa pamoja (politics involves the making of a common decision for a group of people).  Kadhalika, uamuzi wa aina hiyo…