JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Jose Chameleon azawadia miguu

Mwanamuziki maarufu wa Uganda, Joseph Mayanja maarufu kama Jose Chameleon, amenunua jozi moja ya kiatu aina ya raba kwa dola 12.5 za Marekani (sawa na Sh milioni 27 za Tanzania). Wakati baadhi ya mashabiki wa muziki wakimbeza kwenye mitandao ya…

Harufu ya Mourinho yatapakaa Man Utd

Licha ya uongozi wa Manchester United ya England, kukana kuzungumza lolote kuhusu kinachoendelea kati yao na Kocha Jose Mourinho, taarifa za uhakika zinasema pande zote mbili, zimekuwa na mazungumzo mazito. Mourinho ni kocha mzoefu, mwenye maneno ya karaha na kejeli…

Madeni ya JK balaa

Deni kubwa ambalo Serikali inadaiwa na Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, linatishia uhai wa mifuko hiyo, kiasi cha baadhi kuanza kusuasua na hata kushindwa kulipa mafao kwa wanachama wake, JAMHURI inathibitisha. Hadi mwanzoni mwa mwaka jana, mifuko yote sita ilikuwa…

Tigo ‘inavyoumiza’ wajawazito Msewe

Kwa muda sasa MM amekuwa haonekani. Kuna maswali mengi juu ya kupotea kwake, lakini anawahakikishia wasomaji kuwa bado yupo, ukiachilia mbali matatizo ya kiafya ya hapa na pale yanayosababishwa na umri wake. Ni kwa sababu hizo hizo za umri, MM…

Maalim ajivua lawama Z’bar

Sasa ni dhahiri. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, ametabiri hatari ya mgawanyiko unaoweza kuikumba Zanzibar, lakini asingependa alaumiwe kwa uamuzi utakaochukuliwa Zanzibar. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) na Serikali ya Mapinduzi wametangaza…

Ufisadi mwingine Uhamiaji

Ikiwa zimepita wiki mbili tangu Rais Dk. John Magufuli awasimamishe kazi Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile, na Kamishna wa Fedha na Utawala, Piniel Mgonja, mambo mapya yameanza kuibuka. Vyanzo vya habari kutoka ndani ya idara hiyo vinasema Serikali imefanya…