Author: Jamhuri
Mikopo ni sehemu ya biashara
Visa na mikasa ya wajasiriamali kukopa na baadaye kujikuta wakishindwa kurejesha mikopo yao ni vingi sana mahali pote, si tu Tanzania bali duniani kote. Mikopo imekuwa chanzo cha baadhi ya wajasiriamali na wafanyabiashara kudhalilika, kurudi nyuma kimaendeleo na hata…
Walcot adai anaiva na Wenger
Mshambuliaji wa Arsenal 'the Gunners', Theo Walcot, anasema kuwa hajakosana na Kocha Mkuu wa timu hiyo, Arsene Wenger, na kuongeza kwamba hajaanza mazungumzo ya mkataba mpya na klabu hiyo. Mkataba wa Walcot unakamilika mwaka 2016 na Wenger amesema…
Kopu amshtua Casillas, Ngassa abaniwa Yanga
Kocha Mkuu wa Simba ya Dar es Salaam, Goran Kopunovic, amekaa na kipa wa timu hiyo, Hussein Sharrif 'Casillas', na kumwambia hana budi kukaza msuli ili aanze kukaa golini kulinda lango kama zamani. “Ndiyo, nimekaa naye na kumweleza…
Walarushwa hawa hapa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), imetangaza hadharani washitakiwa wote waliopatikana na hatia katika kesi zinazohusu rushwa. Taarifa ya ambayo gazeti hili imeipata inasema kutajwa kwa washitakiwa hao ni utaratibu mpya unaoanza kutumika mwezi huu, ikiwa ni…
Sitta: Nafaa urais
*Asema CCM ikifanya makosa, nchi itayumba Na Angela Kiwia, Dodoma Spika wa Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mzee wa Kasi na Viwango, na Waziri wa sasa wa Uchukuzi, Samuel Sitta, ameta ja sifa nne za…
Nyalandu amkabidhi bahasha Sheikh Salum
*Atumia mamilioni kugharimia viongozi 54 wa kidini *Awalaza hoteli ghali, awalipa Sh 660,000 kwa siku *Mpango mzima umelenga mbio za urais mwaka huu Na Mwandishi Wetu Siku kadhaa baada ya Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi…