Author: Jamhuri
LHRC kushirikiana JOWUTA kuwajengea uwezo wanahabari katika masuala ya haki zao na sheria za kazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Kituo cha sheria na haki za binaadamu(LHRC) kimeahidi kufanyakazi na Chama cha wafanyakazi katika vyombo vya habari(JOWUTA) katika kuwajengea uwezo wanahabari kuhusu sheria za kazi na sheria zinazohusu sekta ya habari. Mkurugenzi wa Uchechemuzi…
Fedha zilizokusanywa Bunge Marathoni zinatumika ipasavyo – Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania fedha zilizokusanywa katika mbio za hisani za Bunge zitakwenda kutumika kama ilivyokusudiwa. Ameyasema hayo leo (Jumamosi, Aprili 12, 2025) katika mbio za hisani za Bunge zilizolenga kuchangisha fedha za ujenzi wa Shule ya Sekondari…
Zao la mwani, katani na korosho kuingizwa katika mfumo wa stakabadhi ghalani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe Dkt. Selemani Jafo (Mb.) ameiagiza Bodi ya Stakabadhi za Ghala kuhakikisha zao la Mwani, linakuwa zao la kwanza kuingizwa kwenye Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika Mkoa wa Tanga…
Vyama vya siasa 18 vyasaini kanuni za maadili, CHADEMA yakosa mwakilishi
Vyama vya siasa 18 vyenye usajili wa kudumu vimeshiriki Katika kikao Cha kusaini kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa Rais wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Mwaka huu huku chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikiwa hakina uwakilishi. Kanuni hizo zinasainiwa…
Serikali na vyama vya siasa kusaini maadili ya uchaguzi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, vyama vya siasa na Serikali kesho tarehe 12 Aprili, 2025 wanatarajiwa kusaini Kanuni za Maadili ya Uchaguzi yatakayotumika kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Akizungumza kwenye mahojiano…
Watendaji mradi wa SOFF wakutana kutathmini utekelezaji wa mpango kazi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkurugenzi Mkuu wa TMA, na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi (IPCC) ,Ladislaus Chang’ amefungua rasmi mkutano wa pili wa Tendaji ya Utekelezaji wa Mradi…