JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makulilo ni nani kwenye udhamini wa elimu ughaibuni?

N dugu wadau wote wa gazeti la JAMHURI, nimerudi tena kuungana nanyi. Kwa wale ambao mmekuwa mnafuatilia gazeti hili makini lilipoanza, nilikuwa naandika makala kila wiki kuhusiana na masuala ya UDHAMINI WA ELIMU YA JUU UGHAIBUNI yaani SCHOLARSHIP OPPORTUNITIES. Kwa…

Hakuna nchi iliyoendelea kwa soko huria

Desemba 15, mwaka jana ulifanyika mkutano wa Shirika la Biashara Duniani (WTO). Mawaziri wa biashara kutoka nchi 162 wanachama walikutana jijini Nairobi, Kenya ili kuzungumzia mfumo wa biashara kimataifa. Wajumbe 7,000 walimiminika Nairobi, wakiwamo wanaharakati na wawakilishi wa asasi za…

Huduma ya Kwanza: Majipu

Mwathirika wa ajali huhitaji ahudumiwe haraka, tena kwa muda mfupi, huku mipango ikiwa inafanywa hadi atakapotokea daktari au atakapopelekwa zahanati ama hospitali kwa tiba inayostahili…   Majipu (boils) hutokea ndani ya ngozi inayozunguka kitundu cha kutolea jasho mwilini, penye shina…

CCM yataka Serikali ya kibabe, udikteta

Ni ukweli usiopingika kwamba kauli zilizotolewa na viongozi waandamizi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita kwamba chama hicho hakiwezi kukabidhi nchi kwa njia ya makaratasi (kura) zimethibitisha kuwa utawala wa kidemokrasia Tanzania hauna nafasi. Kauli hizo…

Rais Magufuli, matumizi ya mkaa ni janga la kitaifa (2)

Mkaa unatumika sana mijini kwa shughuli za kibiashara mfano, mama lishe, mighahawa na hoteli mbalimbali. Kusema kweli mkaa ni janga kubwa kwa misitu ya asili na ni mamilioni mengi ya miti inayokatwa kutengeneza mkaa. Inakadiriwa kuwa karibu hekta 300,000 hadi…

Hata nyegere wanaishi kwa mpangilio

Yapo mengi ambayo ningependa niwashirikishe wasomaji wa Safu hii. Wiki kadhaa zilizopita, makala yangu moja iliibua mjadala. Ilihusu Katiba mpya. Msimamo wangu si kupinga Katiba mpya, lakini bado naamini Katiba mpya pekee si suluhisho la matatizo yote yanayoikabili nchi yetu….