JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Gari la askari lasafirisha wahamiaji haramu

Polisi mkoani Tanga, wanafanya kila linalowezekana ili gari la askari wa Jeshi hilo lililokamatwa likiwa na wahamiaji haramu 10 liachiwe. Duru zinaonyesha kuwa polisi wamekuwa kwenye msuguano na Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Tanga, wakitaka gari la mwenzao lisiendelee kushikiliwa…

Serikali ya maprofesa, madaktari, mainjini… hatutarajii porojo

Katika pitapita yangu kwenye mitandao ya kijamii, nimekutana na uchambuzi ulionigusa kidogo. Nimebaini kuwa Baraza la Mawaziri linaongozwa na Rais Dk. John Pombe Joseph Magufuli (PhD – Chem&Maths), limejaa wasomi. Wasaidizi wake wakuu ni Makamu wa Rais: Samia Suluhu (Msc…

Kodi vifaa vya gesi zifutwe, tuokoe misitu

Mungu alitupendelea Watanzania. Akatupatia ardhi na misitu mingi, mizuri na yenye tija kubwa kwa binadamu na viumbe hai wengine. Uzuri wa Tanzania sasa unaharibiwa na Watanzania wenyewe kwa uamuzi haramu wa kuteketeza misitu ya asili. Takwimu zinaonyesha kuwa hekta 400,000…

Hali ya kisiasa nchini itizamwe kwa umakini

Tanzania inaonekana ni nchi ya amani na utulivu kwa wakati huu. Na huo umegeuka wimbo unaoimbwa na kila mmoja wetu lakini bila kuelewa vina vya wimbo huo vinapatikanaje.  Wimbo upo tangu miaka mingi iliyopita, unaimbwa kwa mbwembwe tu basi. Wengi…

Uchaguzi Mkuu bado mbichi

Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 umekwisha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuibuka kidedea. Hata hivyo, katika hali halisi ngoma inaelekea kuwa bado ni mbichi. Katika  kuitolea ufafanuzi  hoja hiyo, sina budi nielezee, japo kwa muhtasari, historia ya kibwagizo kilichozoeleka hapa…

Nyalandu ajiandaa kurejea Maliasili kwa kutumia Bunge

Sasa ni dhahiri kuwa juhudi za aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika Serikali ya Jakaya Kikwete, Lazaro Nyalandu, kutaka kuwa mmoja wa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tano ya Dk. John Magufuli zimegonga mwamba. Kama ambavyo ilikuwa katika…