JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yah: Utii bila shuruti dhana ngumu Tanzania

Mwaka 1973 hadi 1974 tuliamrishwa tuishi pamoja katika Vijiji vya Ujamaa, lengo likiwa ni kusogeza huduma za jamii kama zahanati, shule, maji na maendeleo kwa ujumla wake, karibu kwa wananchi wote. Lilikuwa jambo gumu kukubaliana hasa ukizingatia kuwa uwezo wetu…

Je, unahitaji ‘NGO’? Fahamu utaratibu wa kusajili

NGO ni kifupi cha neno Non-Governmental Organization. Kwa Kiswahili neno hili humaanisha shirika lisilo la kiserikali. Kawaida Serikali huwa ina mashirika yake, kwa mfano Shirika  la Bima, Shirika la  Nyumba, Shirika  la Umeme, mashirika ya vyakula n.k.   Tunapozungumzia NGO…

Serikali isijaribu kuua Tiba Mbadala

Kwa miezi miwili sasa kumekuwa na msuguano kati ya waganga wa tiba asili na tiba mbadala na mamlaka za Wizara ya Afya, Maendedeo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto. Wizara ya Afya imetoa matamko mawili ambayo yote yalipingwa na Matabibu…

Daktari: Sababu za mashabiki kuzimia

Zaidi ya mashabiki 20, walipata mshtuko Jumamosi iliyopita wakati mchezo wa Ligi Kuu kati ya Simba na Yanga iliyotoa uwanjani na ushindi wa mabao 2-0. Ajabu ni kwamba kati ya hao, 15 walikuwa ni wa Yanga licha ya timu yao…

Sarakasi Bandari

Sakata la kufungia mita za kupimia mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam limechukua sura mpya baada ya kupata vielelezo vinavyoonyesha kuwa Kamishna wa Wakala wa Vipimo, Magdalena Chuwa aliyesimamishwa kazi kupisha uchunguzi alitengeneza mkoroganyo mkubwa. Chuwa alizigonganisha taasisi za…

Jipu la ujangili

Kazi ya kudhibiti ujangili katika mbuga na hifadhi za Taifa ni ngumu, kwani askari waliokabidhiwa kazi ya kulinda wanyama ndiyo wanaofanya ujangili, uchunguzi umebaini. Vyanzo mbalimbali vya habari vimesema ikiwa Rais Magufuli anataka kunusuru wanyama nchini, inamlazimu kusitisha ajira za…