Author: Jamhuri
Nayikole wafurahia miradi ya maendeleo
Wakazi wa kijiji cha Navikole kata ya Chawi, Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara, wameipongeza serikali kwa kuwaletea miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye kijiji hicho ikiwemo umeme, zahanati na maji. Akizungumza wakati wa mkutano wa hadhara uliyofanyika katika kijiji hicho…
Aliyekuwa Mkuu wa Kitivo cha Tiba Butare ashtakiwa Paris kwa mauaji ya kimbari Rwanda
Aliyekuwa kiongozi wa Kitivo cha Tiba katika Chuo Kikuu cha Butare, Rwanda, amefikishwa mahakamani mjini Paris akikabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari, uhalifu dhidi ya binadamu, na kula njama ya kutekeleza uhalifu huo. Alphonse K., mwenye umri wa miaka…
Waliyopambania wanawake wenzetu matunda tunayaona Mbuja
📌 Asema Wizara ya Nishati inalo la kujivunia kutokana na uwepo wanawake katika nafasi za uongozi. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Neema Mbuja amesema kile ambacho wanawake walikipambania katika majukwaa mbalimbali ikiwemo ya Kimataifa ili kuwa…
EACOP , PCK kufadhili masomo kwa vijana 80 hapa nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kushirikiana na mkandarasi wa kusambaza mabomba PANYU CHU KONG STEEL PIPE (PCK) wametoa ufadhili wa mafunzo ya nadharia na vitendo kwa vijana 80 wa…
NFRA yajivunia mafanikio ya utendaji miaka 4 ya Rais Samia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA) umesema kuwa unajivunia mafanikio uliyoyapata katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza uwezo wa uhifadhi wa…
Urusi,Ukraine zashambuliana vikali kwa droni na makombora
Mapambano makali yameripotiwa Jumamosi kati ya Moscow na Kiev, ambapo watu watatu wameuawa katika eneo la mkoa wa Ukraine wa Kherson linalokaliwa na Urusi. Gavana wa Mkoa huo wa Kherson Vladimir Saldo amesema watu wawili wameuawa kwenye barabara kati ya…