JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Magaidi: Mufti atoa agizo kali

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Bin Shaaban Simba, amevitaka vyombo vya dola kufuatilia kwa makini baadhi ya misikiti inayodaiwa kutumiwa na baadhi ya waumini wake kufanya mazoezi nyakati za usiku.  Akizungumza na JAMHURI katika mahojiano maalum yaliyofanyika hivi karibuni,…

Kova futa agizo lako, ajali zinatumaliza

Wiki mbili zilizopita, Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova, amemaliza mgomo wa madereva.    Kova alimaliza mgogoro huo baada ya madereva kukataa kwenda tena darasani kila baada ya miaka mitatu, na akaagiza tochi…

Kipande ang’olewa rasmi Bandari

Aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari, Madeni Kipande, ameng’olewa rasmi katika wadhifa huo baada ya uchunguzi wa Serikali kubaini kuwa hana sifa za kuongoza Bandari.   Kwa mujibu wa Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, Kipande amekuwa…

Tuweke kando Katiba Inayopendekezwa

Tanzania ni kisiwa cha amani. Kauli hii imezungumzwa mara nyingi na kuwabwetesha Watanzania. Nchi kwa sasa ina mtihani mgumu. Kuna mtihani wa Uchaguzi Mkuu, unaopaswa kufanyika Oktoba, mwaka huu na Katiba Inayopendekezwa inayodhaniwa kuwa kura ya maoni itafanyika Julai, mwaka…

Historia itaihukumu CCM Oktoba

Ninaanza mada hii kwa kuyanukuu maneno ya Fulton J. Sheen aliyekuwa Askofu wa Kanisa Katoliki huko Marekani. Alinena; “Usiogope kukosolewa kama upo sahihi, na usikatae kukosolewa kama hupo sahihi.”   Kwa sababu ninakwenda kuzungumzia mustakabali wa Taifa letu, inanilazimu kukosoa…

Kaaya abisha hodi Arumeru

Elirehema Moses Kaaya ni mwanasiasa asiyekata tamaa. Ni kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) anayeamini katika falsafa, itikadi, katiba na imani ya chama hicho japo anakerwa mno na masuala yanavyokwenda ndani ya chama hicho tawala na kikongwe nchini.  Amegombea ubunge…