Author: Jamhuri
Uchaguzi 2015: Uchumi wetu unahitaji uongozi wenye mtazamo ya kitajiri
Nafahamu kuwa nchi iko kwenye joto la uchaguzi na joto hilo ni kubwa ndani ya chama tawala ikilinganishwa na ilivyo nje (kwenye vyama vingine). Wasomaji mnajua kuwa safu yangu ya uchumi na biashara huwa sizungumzii siasa hata tone. Hata leo…
Fasta fasta inavyoumiza michezoni
Wahenga walinena “haraka haraka haina baraka” tena wakanena “mwenda pole hajikwai.” Wahenga pia walitambua kuwa kwenye dharura haraka inaweza kutumika ndiyo maana wakanena pia “ngoja ngoja yaumiza matumbo.” Tunajua vyema kuwa dharura huwa haidumu, na jambo la mara moja linatatuliwa…
Tunahitaji Rais dikteta-Msuya
Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya amesema kwamba Tanzania kwa sasa inahitaji Rais mwenye uamuzi mgumu, mwenye kariba ya udikteta. Waziri Mkuu huyo mwenye rekodi ya aina yake ya kutumikia wadhifa huo kwa marais wawili wa awamu ya kwanza na…
Abood, Makalla, Shabiby ni wabunge hatari Moro
Wakati mauaji na uhasama kati ya wakulima na wafugaji yakishika kasi katika wilaya za Kilosa na Mvomero, Morogoro, wananchi wamewalalamikia wabunge wa mkoa huo kuwa wanahusika mgogoro huo, JAMHURI limeweza kuripoti. Taarifa ambazo gazeti hili imezipata zinasema kwamba wananchi hao…
Nenda Sophia Yamola, nenda mpekenyuzi ukidai haki yako
Katika kipindi cha wiki moja, tasnia ya habari imepata pigo kubwa kwa kuwapoteza wapiganaji wake wawilikatika tasnia hii. Kwanza alikuwa ni Samwel Chamulomo, aliyekuwa Mtangazaji wa TBC Kanda ya Kati, mauti yalipomkuta akiwa mkoani Dodoma. Pili ni Sophia Yamola, mwandishi…
Tumelogwa kuwa wanafiki
Awamu ya kwanza ya harambee ya ujenzi wa kituo cha yatima, shule ya sekondari na msikiti Patandi, Arumeru mkoani Arusha, imefana kwa kiwango kikubwa na kuwa miongoni mwa vielelezo muhimu vya kuuendeleza umoja na mshikamano wa Watanzania bila ya kujali…