JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ada ya kutafuta hati ya nyumba, kiwanja

Watu wengi wanaonunua ardhi wamekuwa wakipata usumbufu mkubwa katika kubadili majina yaani kutoka mmiliki wa mwanzo kwenda kwa mmiliki mpya aliyenunua. Upo usumbufu ambao husababishwa kwa makusudi na maafisa wanaohusika, lakini pia upo usumbufu ambao husababishwa na watu wenyewe wanaotaka…

Je, wote tuwe wajasiriamali?

Kwenye anga za uchumi na biashara kumekuwa na changamoto inayojirudia kutoka kwa baadhi ya wasomaji kuhusu dhana ya ujasiriamali.  Licha ya wasomaji kuzikubali makala hizi, lakini wamekuwa na walakini ikiwa inawezekana Watanzania wote tukawa wajasiriamali. Nafahamu kuwa si watu wote…

Messi wa Simba kortini, Messi wa Barca dimbani

Ninapotazama soka hapa nchini, nawaona wachezaji wetu ni kama yatima kutokana na mfumo wa ukuzaji wa vipaji wa nchi, kadhalika ni wa kujitakia. Kuna kitu kikubwa wachezaji wetu wanachokosa, wamekuwa ni watu wanaojipa majukumu mazito kwa kutokujua au ubinafsi tu. Mchezaji…

Safari ya matumaini

Mbunge wa Monduli na Waziri Mkuu (mstaafu) Edward Lowassa, ameanza rasmi ‘Safari ya Matumaini’ baada ya kutangaza nia ya kugombea urais mwishoni mwa wiki na kuainisha nguzo za mafanikio. Katika mkutano wa kutangaza nia uliofanyika kwenye Uwanja wa Sheikh Amri…

Msuya asisitiza: Kila mtu atabeba msalaba wake

Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya, amesema ajenda kuu ya sasa kwa Mtanzania ni kupata elimu bora, lakini anasikitika kuona Rais Jakaya Kikwete akidanganywa, naye anakubali kudanganyika. Pia amesema hajutii kauli yake aliyoitoa akiwa Waziri wa Fedha kuwa “Kila mtu…

Ni zamu ya William Ngeleja

Wakati makada wa CCM wenye nia ya kumrithi Rais Jakaya Kikwete wakiendelea kutangaza nia zao, imedhihirika kwamba William Ngeleja naye atafanya hivyo Alhamisi wiki hii. Taarifa ambazo gazeti hili imezinasa zinasema kwamba Ngeleja – mbunge wa Jimbo la Sengerema atatangaza…