JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Vijana wapewe nafasi Uchaguzi Mkuu (2)

Taifa linatarajia mabadiliko makubwa katika uchaguzi wa mwaka huu! Gazeti la Mwananchi Toleo No. 5419 la Jumatano Mei 27, 2015 uk. 33 limeelezea hoja zinazojitokeza kuhusu umri wa wagombea.  “HOJA ZA UJANA, UZEE katika vuta nikuvute uongozi wa Tanzania” habari…

Shwekelela: Nikiwa mbunge Kyerwa itaendelea

Homa ya uchaguzi imeikumba wilaya mpya ya Kyerwa, ambapo sasa Pancrace Shwekelela anasema “wakati ukifika nitatangaza nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Kyerwa baada ya kushawishiwa na watu, vikundi na marafiki zangu.” Jimbo la Kyerwa kwa sasa linashikiliwa na…

CCM ‘wasipogawana mbao’ nitashangaa!

Kiongozi wetu Mkuu anaendelea na ziara ya kuwaaga marafiki wetu wa maendeleo. Anazidi kuongeza idadi ya safari na siku alizokaa ughaibuni. Kwa Afrika, amejitahidi kuwaga kwa pamoja pale nchini Afrika Kusini. Lakini kwa Ulaya, Asia na Marekani, naona kaamua kwenda…

Yah:  Uongozi sasa ni kama kazi na siyo karama, uwezo

Juzi jioni, mtoto wangu wa mwisho nilisikia anataka kugombea udiwani uchaguzi ujao, nikamuuliza maswali machache na aliweza kuyajibu kwa ufasaha.  Nikajua kweli huyu mtoto kawa mwanasiasa mkomavu katika umri mdogo. Nilipomuuliza sababu za kutokugombea katika uchaguzi uliopita, alijitetea kuwa umri…

Kangi Lugola ameeleweka

Mgonjwa afikapo kwa tabibu – iwe wa kienyeji, tiba za asili au wa kisasa – hakurupukiwi kupewa dawa.   Mtaalamu wetu wa jadi atapiga ramli kubaini chanzo cha kuumwa na upande wa yule wa tiba za kisasa atautanguliza uwezo wake mkubwa…

Wingi wa watu: Athari, faida zake

Uzazi wa mpango umekosolewa na baadhi ya watu kuwa ni njama za nchi za Magharibi ambazo zinakabiliwa na tatizo la, ama kupungua kwa idadi ya watoto wanaozaliwa, au kuwa na familia ambazo hazina watoto kabisa. Kwa upande mmoja wingi wa…