JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Chanjo ya mwekezaji hatari

Mwekezaji wa kampuni ya utafutaji wa mafuta na gesi kwenye miamba iliyopo chini ya maji katika eneo la kusini mwa Ziwa Tanganyika, amezua tafrani kwa kuwalazimisha wafanyakazi kuchanja dhidi ya magonjwa ya tumbo (typhoid). Kampuni hiyo ya Beach Petroleum inayomilikiwa…

Sasa naliona anguko la CCM

Miezi miwili iliyopita niliandika makala katika safu hii yenye kichwa cha habari kisemacho: “CCM inaanguka taratibu kama dola ya Warumi”. Katika makala hiyo, nilieleza kuwa viongozi wapo kwenye sherehe na safari za ugaibuni. Kwa nadra sana wanafahamu kinachoendelea nyumbani. Dola…

Wale wa Lowassa, msiwe kama Petro

Kwanini awe ni Lowassa na si wengine waliotia nia ya kuwania urais? Ukimshtukiza mtu yeyote na kumuuliza ni kada gani kati ya hao waliotia nia angependa awe rais ajaye, kila mmoja atatoa jibu lake kutokana na mapenzi aliyonayo kwa mgombea…

Kiburi chanzo cha ajali

Ajali ya gari iliyoua watu 23 papo hapo na kujeruhi wengine 34, imeongeza maumivu mengine kwa Watanzania ambako sasa takwimu zinaonesha zaidi ya abiria 1,000 wamepoteza maisha. Ajali iliyotokea usiku wa kuamkia Jumatatu iliyopita ilihusisha basi la Kampuni ya Another…

Jaji Ramadhani sasa tishio

Jaji Augustino Ramadhani amesema endapo atafanikiwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, watu wasitarajie kuwa “uchungaji” wake utamfanya awe na huruma na wakosaji. Katika mahojiano maalum na JAMHURI, Jaji Ramadhani amesema atapambana na wala rushwa kama alivyofanya…

TFDA yafunga viwanda India

Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeelezwa kuwa ni taasisi bora barani Afrika inayoheshimika na kuaminika na Shirika la Afya Duniani (WHO), kutokana na utendaji wake uliokidhi viwango vya ubora. Hayo yameelezwa wiki iliyopita na Waziri wa Afya na…