JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tujiandae kujenga jela mpya

Nimewahi kuandika kwenye safu hii kuhusu hitilafu ambazo nimeziona kwenye Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015. Zipo taarifa kuwa sheria hii sasa itaanza kutumika Septemba mosi, mwaka huu. Kama unayo hofu niliyonayo mimi utakubaliana nami kuwa wapo watu wengi wataathirika…

Klabu ipi Ligi ya England maarufu Afrika?

Kwa mashabiki wa soka barani Afrika, Ligi Kuu ya England ndiyo kila kitu, ndiyo eneo lao la maabadi. Nembo hii ya kimataifa katika soka inafuatiliwa na zaidi ya watu bilioni moja kote duniani na watu milioni 260 kati ya hao…

Ikitokea umekufa leo, biashara zako unaziachaje? (2)

Watanzania wengi tunaendesha biashara kienyeji. Hatuna mifumo ya kibiashara, hatuna malengo ya biashara na wala hatuna mwelekeo wa kibiashara. Wengi wetu tunategemea kudra za mwenyezi Mungu kutufikisha mwakani, hatuna uhakika na tunakoenda wala hatujui tutafika lini. Tuna macho ya kuitazama…

Rooney ana kazi kubwa kuthibitisha

Ligi mabingwa Ulaya hatua ya mtoano inaendelea leo na kesho kwa mechi za marudiano ambazo zitapigwa saa 3:45 usiku kwa saa za Afrika Mashariki. Katika mechi za kwanza zilizopigwa wiki iliyopita, matokeo yalikuwa kama ifuatavyo: katika mechi zilizopigwa Jumanne, Astana…

Ulinzi wa Edward Lowassa usipime

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeibuka na hofu mpya juu ya kudhuriwa kwa mgombea urais wa chama hicho kwa kofia ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Kutokana na hali hiyo, umoja huo sasa umeimarisha ulinzi kwa kiongozi huyo…

CCM Upanga kupoteza udiwani

Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Upanga Magharibi kiko hatarini kupoteza kiti cha udiwani baada ya kada aliyeteuliwa kuwania nafasi hiyo kudaiwa kuingia kwa figisufigisu mbali ya kuwa na tuhuma za kufungwa jela kwa makosa mbalimbali ya jinai. Na vyama…